AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.

Ilikuwa hivi:

Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.

Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.

Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.

 
du hhaahahahahahahahahah 8 yrs ? aiseee hatar sana sasa mbona wadada wa mmjin ukimtokea tu within three month anaanza kununa ukimuuliza why anakwambia hajui mwisho wenyi shwain kumbe kuna watu wanamwaga mitindo 8 yrs alaf wako kawaida wala hawastuki
 
mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Piga hesabu tatu Mara tank we mwanamke?
 
du hhaahahahahahahahahah 8 yrs ? aiseee hatar sana sasa mbona wadada wa mmjin ukimtokea tu within three month anaanza kununa ukimuuliza why anakwambia hajui mwisho wenyi shwain kumbe kuna watu wanamwaga mitindo 8 yrs alaf wako kawaida wala hawastuki

hahaaaaa eti hajui mwisho wenu
Mchumba wa Ay ni mcute jamani......
 
Kitu kama cha kwa Kagame hivi!


Hongera zake ile kambi maarufu ya mabachela inapungua sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…