Ukipewa jibu fanya kuntag.Wana watoto wangapi kwa miaka nane hiyo?
First born yupo la kwanzaWana watoto wangapi kwa miaka nane hiyo?
sorry kwa usumbufu, hukupatia jibu la swali languFirst born yupo la kwanza
Piga hesabu tatu Mara tank we mwanamke?mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
du hhaahahahahahahahahah 8 yrs ? aiseee hatar sana sasa mbona wadada wa mmjin ukimtokea tu within three month anaanza kununa ukimuuliza why anakwambia hajui mwisho wenyi shwain kumbe kuna watu wanamwaga mitindo 8 yrs alaf wako kawaida wala hawastuki
Duh!!!Hivi unawezaje kuishi na mwanamke chini ya dari moja kwa miaka nane halafu hata tumbo haliumuki?
Hawa watu waende kwa Mwingira wakapate maombi, huenda kuna shida kwenye mfumo wa uzazi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....sio gwajima?Hivi unawezaje kuishi na mwanamke chini ya dari moja kwa miaka nane halafu hata tumbo haliumuki?
Hawa watu waende kwa Mwingira wakapate maombi, huenda kuna shida kwenye mfumo wa uzazi...
Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...