AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

du hhaahahahahahahahahah 8 yrs ? aiseee hatar sana sasa mbona wadada wa mmjin ukimtokea tu within three month anaanza kununa ukimuuliza why anakwambia hajui mwisho wenyi shwain kumbe kuna watu wanamwaga mitindo 8 yrs alaf wako kawaida wala hawastuki
Hahahaaa!!
 
Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.

Ilikuwa hivi:

Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.

Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.

Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
Binti inaelekea anapenda orange colour.
 
lisa ana miaka 14 ndio baba na mama yake wanavishana pete ya uchumba na kufunga ndoa eti
 
Huyo mke wake analipa visa permit uhamiaji maana sio m-Tanzania. Watu wa uhamiaji fuatilieni huyo mtu huenda hajalipia visa tangu aingie nchini.
 
Mwenye picha zaidi za mrembo huyuu...
 
Nitaelewa hilo kwa mtu aliyefanya hilo kwa mwaka au miaka miwili.

Miaka nane?

Hapo unatangaza ndoa watuvwanakuuliza kumbe hujamuoa? Sisi tulifikiri umemuoa zamani tu.

Sent from my Kimulimuli
Sisi tungeita kubariki ndoa

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom