Hahahaaa!!du hhaahahahahahahahahah 8 yrs ? aiseee hatar sana sasa mbona wadada wa mmjin ukimtokea tu within three month anaanza kununa ukimuuliza why anakwambia hajui mwisho wenyi shwain kumbe kuna watu wanamwaga mitindo 8 yrs alaf wako kawaida wala hawastuki
Binti inaelekea anapenda orange colour.Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.
Ilikuwa hivi:
Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.
Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.
Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
HahahahaMiaka 8 jamaa anasafirisha mchanga wa dhahabu nje tu.....
Hawa si wachumba tena ni wahenga...
mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Duh,hao watakuwa hawana mpango wa kuoana,Master J sidhani kama atamuoa Sha,pale anaosha lungu tu.Mbona CIO mingi hebu kwnye kujua uchumba wa master j na shaa unamiaka mingapi atuambie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
C ndo mana nauliza 8yrs wanashangaa kuna wtu wana uchumba wa umri wa MTU mzma[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] toka ujana hdi wamekuwa wahenga!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh,hao watakuwa hawana mpango wa kuoana,Master J sidhani kama atamuoa Sha,pale anaosha lungu tu.
hahaaaaa eti hajui mwisho wenu
Mchumba wa Ay ni mcute jamani......
Hahahaaa!!
Sisi tungeita kubariki ndoaNitaelewa hilo kwa mtu aliyefanya hilo kwa mwaka au miaka miwili.
Miaka nane?
Hapo unatangaza ndoa watuvwanakuuliza kumbe hujamuoa? Sisi tulifikiri umemuoa zamani tu.
Sent from my Kimulimuli
[emoji23]mimi m1