AY amuweka wazi mchumba wake

Wachafu sana na mifangas, hawako serious
 
kweli, wenye wanawake wazuri mtuombee tu, wakati mwingine una nyimwa mzigo bila sababu ya msingi, unapewa akitaka.. hawasomeki.. ukiwa na backup napo
Backup hairuhusiwi ukiwa na mke mzuri😅😅😅 inabidi upambane nae tu
 
Ile couple ilikuwa bomba yaani perfect comboo
Haiwezi kuwa perfect ndio maana hawakudumu! Ay alimpenda manz sababu kafanana na mama yake kwa sura 😅 kwa minajili hio ulitegemea nini!
 
Haiwezi kuwa perfect ndio maana hawakudumu! Ay alimpenda manz sababu kafanana na mama yake kwa sura [emoji28] kwa minajili hio ulitegemea nini!
Ay....alifeli Sana. Yan km alipagawa na sura. Ameonyesha weakness kubwa ...Angemuiga bestie take Mwana FA. .
 
Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, AY huyu hakuwahi kuoa mrembo wa Kinyarwanda miaka michache iliyopita? au ndoa hiyo ilishavunjika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…