Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Labda kwa muonekano wa nje ...Ila km kweli wangekua perfect combo ungekuta mpaka Leo wako pamojaIle couple ilikuwa bomba yaani perfect comboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwa muonekano wa nje ...Ila km kweli wangekua perfect combo ungekuta mpaka Leo wako pamojaIle couple ilikuwa bomba yaani perfect comboo
Mkuu naona Ban zinakutembelea siku hz [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuachana hamna mtu anataka ila compatibility ni ishu!
Wangese flani ndio wananletea uchawi uchawi siendi jukwaa la siasa kule maana spana zangu ma Mod wanaletaga jealousMkuu naona Ban zinakutembelea siku hz [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wachafu sana na mifangas, hawako seriousDuh na Hawa mademu wazuri wa sura nimegundua ninwabovu sana na wachafu aisee. Hii ni personal level. Unakaa na demu mkali Ila chupi anavaa siku nzima mpaka kesho yake dah.
Anyway ndio maisha. Hawa wanawake wa siku hizi wanatufanya tunatengeneza watoto wanaoishi kwenye mazingira yasiyo ya kifamilia tunaharibu sana jamii Hawa wanawake .
Backup hairuhusiwi ukiwa na mke mzuri😅😅😅 inabidi upambane nae tukweli, wenye wanawake wazuri mtuombee tu, wakati mwingine una nyimwa mzigo bila sababu ya msingi, unapewa akitaka.. hawasomeki.. ukiwa na backup napo
Afu weweee..!!ni mcute.........
Haiwezi kuwa perfect ndio maana hawakudumu! Ay alimpenda manz sababu kafanana na mama yake kwa sura 😅 kwa minajili hio ulitegemea nini!Ile couple ilikuwa bomba yaani perfect comboo
Backup ni dhambi, na unaweza peleke magonjwa nyumbaniBackup hairuhusiwi ukiwa na mke mzuri😅😅😅 inabidi upambane nae tu
Yeah haitakiwiBackup ni dhambi, na unaweza peleke magonjwa nyumbani
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] noma SanaWachafu sana na mifangas, hawako serious
Ay....alifeli Sana. Yan km alipagawa na sura. Ameonyesha weakness kubwa ...Angemuiga bestie take Mwana FA. .Haiwezi kuwa perfect ndio maana hawakudumu! Ay alimpenda manz sababu kafanana na mama yake kwa sura [emoji28] kwa minajili hio ulitegemea nini!
FA anawajua mademu toka waybackAy....alifeli Sana. Yan km alipagawa na sura. Ameonyesha weakness kubwa ...Angemuiga bestie take Mwana FA. .
Hayo mambo hayana mjanja usishangae kesho FA nae kikaumanaAy....alifeli Sana. Yan km alipagawa na sura. Ameonyesha weakness kubwa ...Angemuiga bestie take Mwana FA. .
Na kweliHayo mambo hayana mjanja usishangae kesho FA nae kikaumana
Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, AY huyu hakuwahi kuoa mrembo wa Kinyarwanda miaka michache iliyopita? au ndoa hiyo ilishavunjika!Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya wasanii au watu wanavyofanya.
View attachment 122777
ImevunjikaKama kumbukumbu zangu ni sahihi, AY huyu hakuwahi kuoa mrembo wa Kinyarwanda miaka michache iliyopita? au ndoa hiyo ilishavunjika!
NiiceHuyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya wasanii au watu wanavyofanya.
View attachment 122777
Ni kweli mkuuHayo mambo hayana mjanja usishangae kesho FA nae kikaumana