AY amuweka wazi mchumba wake

AY amuweka wazi mchumba wake

Ana wangapi?
Huyu waliachana siku nyingi sana, AY aliwahi kuhojiwa na salama jabir kipindi cha mkasi akasema huyu dada alimzingua hakuwa wzi kwa AY na alikuja kuonesha wazi hayupo tayari kuwa na AY so jamaa akajikata akamuacha dada huru.
 
Huyu waliachana siku nyingi sana, AY aliwahi kuhojiwa na salama jabir kipindi cha mkasi akasema huyu dada alimzingua hakuwa wzi kwa AY na alikuja kuonesha wazi hayupo tayari kuwa na AY so jamaa akajikata akamuacha dada huru.
Hi mwanamke anaweza muacha mtu kama AY?
 
Hi mwanamke anaweza muacha mtu kama AY?
Dah! mkuu unatisha kwani AY ana nini labda cha kuzuia mwanamke kumuacha na kwenda na mwanaume mwingine? mbona wa kawaida tu?
 
Pesa na Umaarufu
Haaahaaaaa! hana pesa ya kuizungumzia huyu, na ujue kuna watu hawapendi umaarufu wanajali zaidi future iliyo bora, inawezekana kapata mwanaume ana pesa ndefu kuliko ya AY.
 
Haaahaaaaa! hana pesa ya kuizungumzia huyu, na ujue kuna watu hawapendi umaarufu wanajali zaidi future iliyo bora, inawezekana kapata mwanaume ana pesa ndefu kuliko ya AY.
True that
 
kama ni meno ya asili ina maana hata akibadili watoto watakaozaliwa watakuwa hivyo, unataka kunambia hawa wanao badilisha matako ya kichina watazaa watoto wana matako?????
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mbona hafanani na yule wa mwanzo alovalishwa pete

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
Sasa miaka 8 na ile ya kuchepukiana ni inclusive
 
Back
Top Bottom