Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huyu. Yule n rwandese.Ndio huyu aliyevalishwa Pete? au mwingine?
Utafikiri hajatoka kabila la wapenda misifaNi mmoja wa wasanii wachache wasiopenda misifa ya kijinga.
Itakua kuna kijiba kimekukaa pabayaAstaghafirullah....
Itakua kuna kijiba kimemkaa pabayaAstaghafirullah....
Kijiba mkuu. Kimemkaa pabaya. Yani anabishana hata na akili yake. Akili inamwambia huyu ni AY ila yeye anabisha tu. Muache tu mkuumpwa kuna watu mahaters sana,eti hamjui ay kwenye picha hapo wakati maelezo yameandkwa kiswahili kabisa.
Yes....toto kama hili ukilipakata roho yako inasuuzika aisee!Mitoto kama hiyo ndo yenyewe
Hivi bado hii ndoa ipo kweli?Sio huyu. Yule n rwandese.
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Update:Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya wasanii au watu wanavyofanya.
View attachment 122777
Waliachana?Update:
EX wake
Mapema sanaWaliachana?
Eeenaaaahh nkamuuumechagua wifi bomba...........ndagha fhijo
Huyu ndiye mwenye lab inayotengeneza K-Y ??Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya wasanii au watu wanavyofanya.
View attachment 122777
Hebu funguka?Huyu ndiye mwenye lab inayotengeneza K-Y ??
Duh so walisema sijui walikuwa wanadate kwa miaka name dah maisha hayaUpdate:
EX wake
Mambo kwa ground ni difference, mwanamke huwezi kumjua kwa dating!Duh so walisema sijui walikuwa wanadate kwa miaka name dah maisha haya
Demu mkali vile kumaliza nae miaka mitano kwenye ndoa ujue una Mungu. Akishazaa anabaki sasa mzuri sababu so umemhudumia vizuri.Mambo kwa ground ni difference