AY amuweka wazi mke wake mtarajiwa


Mmh kumbe nayeye ana kitu yake kutoka Kwa Kagame?

Hivi kumbe Amani alichezewa tuu?

Huyu na Amani nani mkali? [emoji16]

 
Khaaa sio kwa ubachela huo! Miaka 35 sio masihara!!
Hongera sana AY.....Amani alizingua roho itakua inaumaje!
 
Kwa nini kila mtu saivi wanakimbilia kwa kagame?kunani.....
 
Khaaa sio kwa ubachela huo! Miaka 35 sio masihara!!
Hongera sana AY.....Amani alizingua roho itakua inaumaje!
Hivi Amani ndio alizingua?
 
Yaan Ay na umri wote huo kumbe bado hajaoa, hivi na mtoto anaye kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…