Ndio...sijui alipawa na nini akampiga chini jamaa!Hivi Amani ndio alizingua?
Yupo ila hajibinui
Nadhani ni matokeo mazuri ya ziara ya raisi wetu kudumisha urafikiKwa nini kila mtu saivi wanakimbilia kwa kagame?kunani.....
MwakaTrumpMbeya na Rwanda wapi na Wapi?
Nadhan kasoma alama za nyakati 2017 wangemuanzia yeye na kupumuliwaBora yake katupia mapema Make NEY WA MITEGO angemchana muda si mrefu.
Hiyo ya watu mie ninayo yangu yakisukumaumenichunia............miss you too...
hiyo miguu ya kinyarwanda
Akina Ommy mashavu mbonyeoIla kaka zetu mnatukatisha tamaa. Kama mmeshaanza kuhamia na nchi jirani sisi nani atatuoa jamani? Embu tuoneeni huruma dada zenu.
Bado nadhan mipumulio inaendeleaOmmy tayari?
Itafute mkuu Ay ft marco chali -party zone!Ngoja niitafute
Uchochezi kwa kada le mutuz angalia kakale umemez............
Nijuavyo mm jamaa ana asili ya mbeya ..lkn inawezekana