AY kapata mtoto wake wa kwanza, kampa jina la Aviel

AY kapata mtoto wake wa kwanza, kampa jina la Aviel

Babake na mke wa A.Y ni mwarabu anaishi karagwe anaitwa NASSOR BARUTI alivomuowa huyo mama kuna kama ubaguzi ulitokea ndugu wa jamaa wakawa kama wanambagua kisa kaoa mswahili.Basi yule mama akaamua kuondoka na wanawe akaenda kwao Rwanda ni hayo tu.
Nani kakuuliza?
 
mtoto amezaliwa na uraia wa marekani safi sana....wengine hata mlango wa ubalozibwa marekani tu hatujawahi kuugusa😀
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3]
 
Kuna mnyarwanda Niko nae sema kakulia bongo bhas tabia zote za mashoga zake wa bongo kazbeba
 
Trump anabadili upepo kila siku huko. Ingawa sidhani kama lengo ni kumpa mtto wao uraia wa USA lakini mambo ya uraia si kama zamani huko. Sera zinabadilika sana chini ya Trump.
Suala la uraia mi suala nyeti sana, moja wapo ya haki ya msingi ya binadamu baada ya haki ya kuishi ni pamoja na haki ya uraia.
Hivyo basi ilikubalika kimataifa kwamba binadamu yeyote lazima awe na haki ya uraia sehemu alikozaliwa hii haki haiwahusu tu watoto watakaozaliwa na maofisa wa ubalozi ambao watazaa watoto wakiwa nje wakiteleza majukumu ya kikazi.
Hivyo basi kamwe trump hawezi kupingana na hii convention kuhusu haki ya uraia sehemu mtu anapozaliwa
 
Colonial mindset zimemharibu ay ..kwa hyo anaona mtoto wake kupata uraia marekani ni big deal ee!!
Kwasasa makazi yake ni huko sasa mkewe angejifungulia wapi mkuu kama sio huko huko
 
Back
Top Bottom