Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
WanaJamvi wasalaam,
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.
Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.
Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati
Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....
Wasalaam
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.
Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.
Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati
Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....
Wasalaam