AY na Mwana FA wafungua case wakiiomba mahakama kukamata mali za Tigo ili walipwe pesa yao

Nitawaona wakatili FA na AY endapo ktk mgao wakimsahau Hermy B, kwani biti yake ndio iliyotumika kuliko hata hizo sauti zao.
Yule alisha pewa chake baada ya kumaliza kazi hizi naona watagana mtu tatu.

-Ndumilakuwili-
 
ndo maana ake hyoo...maana wagawane tu!
dhulma haijawahi kumuacha mtu salamaa

sent from motorola bapa and nokia jeneza
hahahahaha eti motorola bapa na nokia jeneza hahahahah
 
Mbele ya pesa aise tena bilioni aise utazilipa tu

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
 
Sasa kama wanaelekea kushinda kwa nn wasishinde hapo mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wanaelekea kushinda bali WAMESHINDA kesi hivyo kwenye viunga vya mahakama wanakwenda tena kwa mara nyingine ili mahakama ikamate mali za Tigo kama sharti la kuwalazimisha kulipa vinginevyo utekelezaji wa ulipaji unaweza ukafanyika siku isiyojulikana hata kama baada ya miaka 5
 
Makampuni ya simu yanapiga sana pesa mara nyingine isivyo sahihi kama hapa.

Hongereni wasanii AY na Mwana FA kwa kuonyesha njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…