Tetesi: AY, Salama Jabir wekeni mambo hadharani

Tetesi: AY, Salama Jabir wekeni mambo hadharani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
NDI! NDI! NDI!, Wahenga walisema Mapenzi ni kikohozi kuyaficha huyawezi, msemo huo ulijidhihirisha wazi kwa mastaa wawili, zamaradi mketema pamoja na boss wake ruge mtahaba, ambapo tetesi zilianza kuvuma kama moto wa kifuu kwa muda mrefu kuwa wawili hao wana share kitanda kimoja na shuka moja, hata hivyo tetesi hizo ziliendelea kwa muda mrefu bila wawili hao kuweka wazi kama ni kweli wanatoka pamoja au vipi, mpaka hivi karibuni makohozi yalipowazidia na kuamua kubanja maana sio kukohoa kule.

Habari ya mujini kwa sasa ni kuhusu mahusiano ya mastaa wawili, mtangazaji maarufu nchini wa kipindi cha mkasi, salama jabir pamoja na boss wake Ambwene yesaya aka AY ambaye ndiye mtayarishaji wa kipindi hicho cha mkasi, inasemekana wawili hao wanabanjuka kwa siri mno, huku baadhi ya wapenda ubuyu mujini wakijiuliza wawili hao wataficha mahusiano yao mpaka lini??
 
Mimi najiuliza tu wakati wa kubanjuka inakuwaje?
Hivi Salama akiwa na huyo AY huwa anajiweka kijike jike? (like babes this and that)
Mhhhhhh vyumba vina siri sana.
Akinyonywa chuchu tu hana ujanja, japo jamaa asitegemee maneno ya bashasha utasikia kauli kama hizi, mshikaji hapo umegusa kwake, kama vipi weka basi, n.k.
 
Salama analazimisha tu kuwa jikedume, ana sura ya kike sana na mvuto fulani.
Nafikiri ni SELF DEFENSE TECHNIQUE yake ya kutoa usumbufu wa kufukuziwa na midume, kaamua ajifanye kama jike dume.
Anagongeka fresh tu, na kuna uwezekano mzee wa commercial anakula.
 
Mimi najiuliza tu wakati wa kubanjuka inakuwaje?
Hivi Salama akiwa na huyo AY huwa anajiweka kijike jike? (like babes this and that)
Mhhhhhh vyumba vina siri sana.

Nilitaka Nishangae. Usingetokea Katika UZI Huu Hakyanani Kesho Saa 6 Mchana Kweupe Ningeenda Kujisaidia " Big Haja " HADHARANI Pale Askari Monument Posta. Wewe Kwa Kupenda Taarifa Za Kipashkuna Ni Damu Damu Kama Vile Jecha Na Shein!
 
NDI! NDI! NDI!, Wahenga walisema Mapenzi ni kikohozi kuyaficha huyawezi, msemo huo ulijidhihirisha wazi kwa mastaa wawili, zamaradi mketema pamoja na boss wake ruge mtahaba, ambapo tetesi zilianza kuvuma kama moto wa kifuu kwa muda mrefu kuwa wawili hao wana share kitanda kimoja na shuka moja, hata hivyo tetesi hizo ziliendelea kwa muda mrefu bila wawili hao kuweka wazi kama ni kweli wanatoka pamoja au vipi, mpaka hivi karibuni makohozi yalipowazidia na kuamua kubanja maana sio kukohoa kule.

Habari ya mujini kwa sasa ni kuhusu mahusiano ya mastaa wawili, mtangazaji maarufu nchini wa kipindi cha mkasi, salama jabir pamoja na boss wake Ambwene yesaya aka AY ambaye ndiye mtayarishaji wa kipindi hicho cha mkasi, inasemekana wawili hao wanabanjuka kwa siri mno, huku baadhi ya wapenda ubuyu mujini wakijiuliza wawili hao wataficha mahusiano yao mpaka lini??
Eeh hii mpya, Ngosha kamshindwa mtoto wa kizanzibar!!!
 
hahaha kweli Umbea Afyaa!!! kwani wanakukera nini mambo yao wafanya kwa raha zao,raha wanapata wao,faida wanapa wao asara wanapata wao ....
 
wakifanya siri ama wakiweka wazi wewe itakuathiri vipi?
 
Back
Top Bottom