barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Muona fursa na mtumia fursa.Jina la mzee wa commercial limekujaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muona fursa na mtumia fursa.Jina la mzee wa commercial limekujaje?
Mbona kucheka[emoji2] [emoji2]Akinyonywa chuchu tu hana ujanja, japo jamaa asitegemee maneno ya bashasha utasikia kauli kama hizi, mshikaji hapo umegusa kwake, kama vipi weka basi, n.k.
Atakuwa katokea bara huyu..Hebu tuache na wewe,ya wambea tuachie wambea.
Binafsi mbea mwenzie nimeshamuelewa na tunaenda sawa kama unavyoona.
Mambo ya kukatana stimu kwenye umbea yanakera kama nini!
😡😡😡
Nishatia timu mama,hizi ndio pande zangu za kujidai.Nifah
Hapo sasaHa ha haaaa Na yeye kafata nini huku?
Kile Kipindi kuna Jamaa mwengine anaitwa Josh Murunga kama sikosei, yule ndie "mume" wa Salama pika pakua. AY ni kama shemeji au swahiba a.k.a mshika pembe tu, sawa sawa na alivyo FA kwa Salama JabirNDI! NDI! NDI!, Wahenga walisema Mapenzi ni kikohozi kuyaficha huyawezi, msemo huo ulijidhihirisha wazi kwa mastaa wawili, zamaradi mketema pamoja na boss wake ruge mtahaba, ambapo tetesi zilianza kuvuma kama moto wa kifuu kwa muda mrefu kuwa wawili hao wana share kitanda kimoja na shuka moja, hata hivyo tetesi hizo ziliendelea kwa muda mrefu bila wawili hao kuweka wazi kama ni kweli wanatoka pamoja au vipi, mpaka hivi karibuni makohozi yalipowazidia na kuamua kubanja maana sio kukohoa kule.
Habari ya mujini kwa sasa ni kuhusu mahusiano ya mastaa wawili, mtangazaji maarufu nchini wa kipindi cha mkasi, salama jabir pamoja na boss wake Ambwene yesaya aka AY ambaye ndiye mtayarishaji wa kipindi hicho cha mkasi, inasemekana wawili hao wanabanjuka kwa siri mno, huku baadhi ya wapenda ubuyu mujini wakijiuliza wawili hao wataficha mahusiano yao mpaka lini??
Jamaa amekataa hiyo issueahaa nilisikia mbona huyu aina ya kondom yupo na mzee wa mwanza mwanza kule fid q
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Akinyonywa chuchu tu hana ujanja, japo jamaa asitegemee maneno ya bashasha utasikia kauli kama hizi, mshikaji hapo umegusa kwake, kama vipi weka basi, n.k.
Nataka unifunze kufunga hilo lembaNishatia timu mama,hizi ndio pande zangu za kujidai.
Kumbe nifah mbea😵😛😀😀Hebu tuache na wewe,ya wambea tuachie wambea.
Binafsi mbea mwenzie nimeshamuelewa na tunaenda sawa kama unavyoona.
Mambo ya kukatana stimu kwenye umbea yanakera kama nini!
😡😡😡
MB zangu na smartphone yangu napata raha sana nimesahau kuwa nadaiwa kodi ya nyumba jamii forum live f[emoji13] reverAkinyonywa chuchu tu hana ujanja, japo jamaa asitegemee maneno ya bashasha utasikia kauli kama hizi, mshikaji hapo umegusa kwake, kama vipi weka basi, n.k.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] jecha na sheinNilitaka Nishangae. Usingetokea Katika UZI Huu Hakyanani Kesho Saa 6 Mchana Kweupe Ningeenda Kujisaidia " Big Haja " HADHARANI Pale Askari Monument Posta. Wewe Kwa Kupenda Taarifa Za Kipashkuna Ni Damu Damu Kama Vile Jecha Na Shein!
We warumi mkuda sanaNajua mnataman sana kuja dar sema nauli hamna, kwi kwi kwi kwi
Hahahahaaa ulijuaje na ww?!Hapo umempatia Salama ile mbaya.Ni kweli yuko hivyo.
Karibu mamNataka unifunze kufunga hilo lemba
Kumbe nawe umo na mambo haya!!Wanaume wa dar teeena!
Umenikumbusha kuna mshkaji wangu mmoja alipigwa dole la makalio na demu wake akajisifu kama kasikia raha. washkaji wote kijiweni wakasema hili jamaa limeshakuwa ngese sasa.