Mimi najiuliza tu wakati wa kubanjuka inakuwaje?
Hivi Salama akiwa na huyo AY huwa anajiweka kijike jike? (like babes this and that)
Mhhhhhh vyumba vina siri sana.
Mtanzania huyo halafu kuna siku alikuja akanipa story kama uume wake hausimami kisa alitaka kutembea na demu ana jini mahaba.Huyo atakuwa mwanaume wa wapi anaongea mambo ya faragha kwenye kadamnasi?
Mtanzania huyo halafu kuna siku alikuja akanipa story kama uume wake hausimami kisa alitaka kutembea na demu ana jini mahaba.
kwa kasi ya ajabuu! haha...Wanaume wa dar teeena!
Mwanamke ni mwanamke kuna wakati salama ulia kama moja ya tabia za kikeWatu kama hao kwenye faragha ni watiifu vibaya mno na kulia wanalia.
Hapana ni mwanaume shababi lakini akili zake sijui zikoje. ila kwa sasa ameshaowa ametulia sana na amekwenda nchi za uarabuni.Be careful labda anataka ummendee huyo.
Hapana ni mwanaume shababi lakini akili zake sijui zikoje. ila kwa sasa ameshaowa ametulia sana na amekwenda nchi za uarabuni.
Hio ni kweli kuowa sio shani, lakini huyu mshkaji yupo rijali kabisa namjua vyema tu. manake kishataka kuwatafuna baadhi ya mademu wangu ila aliwakosa, nikamla demu wake mmoja na mwengine alinifuma nae ikaja kuwa ugomvi si mdogo. lakini sikujua mpaka tulipokuwa mazoezini boxing alileta fujo ndio nikajua kama jamaa kaishtukia ishu kama nimemmega demu wake. Na huko uarabuni amekwenda Qatar anafanya kazi ya security.Kuoa sio shida wangese wengi wamejificha kwenye mwamvuli wa ndoa. Na huko alikokwenda mbona unaleta evidence zote za kesi bila ufahamu?
Salama ugumu vivazi vyake tu, lakini mlaini kama keki.Teh Teh wanaume wa Ntwara tunauliza kwani Salama naye mwananke?
Wewe ni me au ke?Akinyonywa chuchu tu hana ujanja, japo jamaa asitegemee maneno ya bashasha utasikia kauli kama hizi, mshikaji hapo umegusa kwake, kama vipi weka basi, n.k.
Wanaume wa dar teeena!