Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Dah kwahiyo dunia ni tamu sana

Mimi nilijua huko mbingun kwao kwenye bikira 72 ndo sehemu tamu zaid
Hivi bikra 72 peponi inaingia akilini kweli? Ingalikuwa kitu cha maana tungafunuliwa hadi malaika na Mungu mwenyewe ndio michezo yao maana ni "raha tupu". Mt. Paulo anatuambia, uzuri wa Mbinguni ni wa kiwango ambacho jicho halikupata kuona, wala sikio kupata kusikia. Sio mambo ya ngono!
 
Si nasikiaga wanasema kwamba ni kheri ufie vitani kuliko ufie shimon kama panya?

Au hawa waislam wa jamiiforum ndo huwa wanatupoteza maboya
Wacrist wa JF kwa nini hamchambui mnayoambiwa kwa kina kabla hamjayameza ubongoni?
 
Kwahiyo Hilo hayawani linagoma kwenda kwa mabikira 72? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Afadhali.kwenda kupata mabikira 72,kuliko kwenda kupakatwa na kidume Ibrahim,kama alivyopakatwa Lazaro LK 16:19-31.Sasa wewe subiti uwende ulapakatwe na kidume Ibrahim,kama Lazaro,LK 16:19-31.
 
Yule aliehutubia ijumaa jana ni nani?
 

Kwani mabwenyenye wenyewe wa vita si ni hawa?

 
Afadhali.kwenda kupata mabikira 72,kuliko kwenda kupakatwa na kidume Ibrahim,kama alivyopakatwa Lazaro LK 16:19-31.Sasa wewe subiti uwende ulapakatwe na kidume Ibrahim,kama Lazaro,LK 16:19-31.
Kwamba kabisa una matumaini ya kupewa mabikra 72 na kufaidi mito ya pombe?
 
Ila ki uhalisia hivi vikundi visivyo na vifaru, ndege vita rada na all sophisticated war equipments vinajitahidi sana sanaaaaa yaani ukivuta picha mzani ukawekwa sawa Israeli atachapika vibaya yaani vita hivi ukivifatilia unajifunza kamwe usikubali kuwa mnyonge kivyovyote vile buni mbinu na ujiteteeeπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
MOSSAD has reportedly discovered his hiding place.

Ali Khamenei is very scared. Iran common people are also angry with him.

This has left Khamenei in a state of fear as public anger in Iran continues to mount against him
Ninamashaka huenda miongoni mwa watu wa karibu na uongozi wa juu Iran ni Mossad
 
Dah ubalikiwe sana umenikumbusha kitu kikubwa sana kabla lango halijafungwa
 
Mtumish Kuna habari ya kuichambua na kuna habar ya kuiacha kama ilivyo

Kwa mfano mtu kaahidiwa bikira zake 72 sasa wewe utachambua nini hapo
Ni sawa na kwenda kupakatwa na Kidume Ibrahim,alivyopakatwa Lazaro,LK 16:19-31.Sasa chaguwa ukapakatwe na Kidume Ibrahim kama Lazaro au Mabikira 72,uamuzi uko kwako.
 
Hujui kama Lazaro amepakatwa na kidume Ibrahim?LK 16:19-31.Chaguwa ukapakatwe na Kidume Ibrahim au upate mabikira 72.
 
Israeli ingechagua diplomacy na iwaache hawa waarabu waishi bila hivyo maisha yote watakuwa na vita maana kuna vitoto vilizaliwa 2006 viliona ile vita leo ndo vinaisumbua Israeli. Hawa wanaozaliwa na kukulia kwenye hii vita ya 2024 watakuwa na visasi na wakiwa wakubwa MISSION YAO ITAKUWA KULIPA KISASI TENA, sasa Israeli imechagua hvyo na ikumbukwe waarabu wanafyatua sana watoto hao kuwapunguza sahauπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ wape mda utajua hujui. Israeli ingekubali kuishi nao au wagawane maeneo. lasivyo iue waarabu wote wa palestina na nchi zote na kiarabu hapo ndo wataishi kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…