Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 629
- 1,688
- Thread starter
- #61
Mnajidanganya tuu, Kama ndo hivo mbona ayatollah amekimbilia mafichoni?Muislam akifa ktk jihad ni ufahari kwake na tafauti na kafiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajidanganya tuu, Kama ndo hivo mbona ayatollah amekimbilia mafichoni?Muislam akifa ktk jihad ni ufahari kwake na tafauti na kafiri
Waongo. Mfano mzuri ni Saddam Hussein.Si nasikiaga wanasema kwamba ni kheri ufie vitani kuliko ufie shimon kama panya?
Au hawa waislam wa jamiiforum ndo huwa wanatupoteza maboya
Mbona unamsahau Qadaffi?😂😂😂Waongo. Mfano mzuri ni Saddam Hussein.
Kama zile tunazo fanya CHADEMAHii ni propaganda ya wazi kabisa.
Wewe ndie mkewe unajua yote hayo?Mnajidanganya tuu, Kama ndo hivo mbona ayatollah amekimbilia mafichoni?
MNADANGANYANAWewe ndie mkewe unajua yote hayo?
Anajigamba kwamba kufa ukipigania dini ni ufahari na utaitwa shahidi(martyr)kama Uganda.MNADANGANYANA
Kama kufa kwa muislamu katika jihad ni fahari mbona kiongozi wa Hamas alikimbilia Qatar? Si angekuwa mstari wa mbele vitani afe aende huko kweny ufahari.
STUPID!
Ktk vita unakimbia ili upate muda wa kumua adui yako. Akikuwahi wewe ktk uislam huyo muislam amefaulu..ukimuua yeye pia ni unapata thawabu nyingi. Ktk uislam ktk kupigania haki yako na dini yako hupotezi kitu tofauti na wewe KAFIRI. wewe lazima uogope kwa sababu hujui adhabu gani umeandaliwa ukifa nje ya uislamMNADANGANYANA
Kama kufa kwa muislamu katika jihad ni fahari mbona kiongozi wa Hamas alikimbilia Qatar? Si angekuwa mstari wa mbele vitani afe aende huko kweny ufahari.
STUPID!
BrainwashedAnajigamba kwamba kufa ukipigania dini ni ufahari na utaitwa shahidi(martyr)kama Uganda.
Like uBrainwashed
Usijaribu kubishana naye uso kwa macho.Anachachamaza ndevu huku ametoa macho kama ngedere wa India.Brainwashed
Kila siku anakimbilia mafichoni,kabla ya kuingoza swala ijumaa tuliambiwa kakimbilia mafichoni, wakati tuliyemuona akitoka nduki ndani ya bunker kwenda kujificha ni netanyahuKuwa kiongozi wa nchi au kikundi kinachotofautiana na Israel ni kuharakisha kifo chako
They are bigoted and mind retarded 😅Anajigamba kwamba kufa ukipigania dini ni ufahari na utaitwa shahidi(martyr)kama Uganda.
Tatizo unasikiliza media za propagandaKila siku anakimbilia mafichoni,kabla ya kuingoza swala ijumaa tuliambiwa kakimbilia mafichoni, wakati tuliyemuona akitoka nduki ndani ya bunker kwenda kujificha ni netanyahu
ARE YOU STUPID?Ktk vita unakimbia ili upate muda wa kumua adui yako. Akikuwahi wewe ktk uislam huyo muislam amefaulu..ukimuua yeye pia ni unapata thawabu nyingi. Ktk uislam ktk kupigania haki yako na dini yako hupotezi kitu tofauti na wewe KAFIRI. wewe lazima uogope kwa sababu hujui adhabu gani umeandaliwa ukifa nje ya uislam
Hawa makondoo walio potea noma sana Israel hawezi kugusa Iran na akigusa ndio mwisho wake.Mossad Head Quraters juzi imechakazwa na kibano cha Iran.
Naona Wazayuni mnafarijiana tu
Halafu unaandika maelezo.marefu utumbo mtupu. Wapigani ulombozi wakiishi wapiARE YOU STUPID?
Hao makafiri wanaogopa ni akina nani? Ushawahi kuona wapi kiongozi au mfalme anaacha jeshi lake likapigane vita yeye akakimbilia mafichoni, Haniyeh ambae akifa ana dhawabu tele huko kwa allah alikimbilia Qatar, Netanyahu kafiri kabaki nchini kwake kama inavyopaswa kwa kiongozi japokuwa kazungukwa na maadui kila kona alaf unataka kusema makafiri waoga, mnafiki ni huyo aliyekimbilia Qatar kweny 5 star hotel wakati wanamgambo wake wakiuliwa na makafiri.
NATO, USA, UK na silaha zote za dunia kapewa Isreal wakati Palestina wamezuia kupewa hata kisu mwaka wa 29 sasa. Lkn tunaona majeneza yanarudishwa Telaviv kwa mamia. Huoni maajabu hayo wewe mwehu?ARE YOU STUPID?
Hao makafiri wanaogopa ni akina nani? Ushawahi kuona wapi kiongozi au mfalme anaacha jeshi lake likapigane vita yeye akakimbilia mafichoni, Haniyeh ambae akifa ana dhawabu tele huko kwa allah alikimbilia Qatar, Netanyahu kafiri kabaki nchini kwake kama inavyopaswa kwa kiongozi japokuwa kazungukwa na maadui kila kona alaf unataka kusema makafiri waoga, mnafiki ni huyo aliyekimbilia Qatar kweny 5 star hotel wakati wanamgambo wake wakiuliwa na makafiri.
Upuuzi!Ila ki uhalisia hivi vikundi visivyo na vifaru, ndege vita rada na all sophisticated war equipments vinajitahidi sana sanaaaaa yaani ukivuta picha mzani ukawekwa sawa Israeli atachapika vibaya yaani vita hivi ukivifatilia unajifunza kamwe usikubali kuwa mnyonge kivyovyote vile buni mbinu na ujiteteee👍👍👍👍👍💪💪💪💪