Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

3
Ila ki uhalisia hivi vikundi visivyo na vifaru, ndege vita rada na all sophisticated war equipments vinajitahidi sana sanaaaaa yaani ukivuta picha mzani ukawekwa sawa Israeli atachapika vibaya yaani vita hivi ukivifatilia unajifunza kamwe usikubali kuwa mnyonge kivyovyote vile buni mbinu na ujiteteee👍👍👍👍👍💪💪💪💪
Huna akili taifa teule haliwezi kupoteza vita hii hata siku Moja ngedere wewe
 
Uko sahihi kuna mahali nilisoma alipojificha ni maeneo lenye watu wengi na shughuli nyingi za kibiashara hayuko eneo la kijeshi
Yuko kajificha kwenye msikiti mmoja wenye bunkers chini ya ardhi eneo lenye watu wengi lakini Mossad wenyewe washamuona alipo na anaumwa amekuwa akipekewa matibabu huko ndani
Wanangoja tu wakati muafaka wanamla kichwa
Anaumwa na yule alotoa hotuba ya ijumaa pale Tehran Jana alikua ninani enyi vijana
 
Israeli ingechagua diplomacy na iwaache hawa waarabu waishi bila hivyo maisha yote watakuwa na vita maana kuna vitoto vilizaliwa 2006 viliona ile vita leo ndo vinaisumbua Israeli. Hawa wanaozaliwa na kukulia kwenye hii vita ya 2024 watakuwa na visasi na wakiwa wakubwa MISSION YAO ITAKUWA KULIPA KISASI TENA, sasa Israeli imechagua hvyo na ikumbukwe waarabu wanafyatua sana watoto hao kuwapunguza sahau😄😄😄😄 wape mda utajua hujui. Israeli ingekubali kuishi nao au wagawane maeneo. lasivyo iue waarabu wote wa palestina na nchi zote na kiarabu hapo ndo wataishi kwa amani.
Ona hii ngedere kwahiyo myahudi yeye Hana watoto kweli kobazi akili hamna yaani wewe ndio uzae mwenzio azai hii Kali kwahiyo ikifika huo mwaka Israel itakua Haina vijana hii sijui akili gani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unashangaa? Wewe hapa duniani umepewa wangapi?
Sijaja duniani kufanya ngono, dini yangu inasema, nimekuja duniani kumjua na kumtumikia Mungu, kuwapenda na kuwahudumia wengine, na kujiandaa kwa maisha ya milele 😁💪
 
Sijaja duniani kufanya ngono, dini yangu inasema, nimekuja duniani kumjua na kumtumikia Mungu, kuwapenda na kuwahudumia wengine, na kujiandaa kwa maisha ya milele 😁💪
Kama hujaja kufanya ngono, wazee wako wamekuzaa wewe baada kufanya ngono. Au umetolewa kupitia puani?
 
Sasa kwanini anajificha yeye hataki mabikra72 na mito ya pomne akhera yani unajichotea tu. Mi hennesy, castle light etc
 
BIG BREAKING NEWS 🚨 Iran's Supreme Leader Ali Khamenei has been relocated from Safe location to EXTREMELY Safe Location.

MOSSAD has reportedly discovered his hiding place.

Ali Khamenei is very scared. Iran common people are also angry with him.

This has left Khamenei in a state of fear as public anger in Iran continues to mount against him. With tensions escalating, Israel is poised to launch a decisive operation at any moment to defend its interests.

Khamenei's terror tactics have only fueled a stronger resolve against terrorism worldwide. The clock is ticking, and the stakes couldn't be higher for Khamenei and his regime!

Israel can launch operation at any moment in order to defend itself.

View attachment 3115893
Sasa walitaka akae uwanjani propaganda za kimagharibi!
 
Ayatolla siyo muonga kama Isha mashauzi wa Middle East Bi Netanyahu Jana Ayatollah kaswalisha waumini hadharani tena kabla ya kuswalisha alitoa taarifa atakua sehemu flani, hizo taarifa za kujificha aliejificha ni Isha mashauzi wa Middle East Bi Netanyahu
 
BIG BREAKING NEWS 🚨 Iran's Supreme Leader Ali Khamenei has been relocated from Safe location to EXTREMELY Safe Location.

MOSSAD has reportedly discovered his hiding place.

Ali Khamenei is very scared. Iran common people are also angry with him.

This has left Khamenei in a state of fear as public anger in Iran continues to mount against him. With tensions escalating, Israel is poised to launch a decisive operation at any moment to defend its interests.

Khamenei's terror tactics have only fueled a stronger resolve against terrorism worldwide. The clock is ticking, and the stakes couldn't be higher for Khamenei and his regime!

Israel can launch operation at any moment in order to defend itself.

View attachment 3115893
Majini yameshindwa kunisaidia?
 
Ktk vita unakimbia ili upate muda wa kumua adui yako. Akikuwahi wewe ktk uislam huyo muislam amefaulu..ukimuua yeye pia ni unapata thawabu nyingi. Ktk uislam ktk kupigania haki yako na dini yako hupotezi kitu tofauti na wewe KAFIRI. wewe lazima uogope kwa sababu hujui adhabu gani umeandaliwa ukifa nje ya uislam
Uko wapi nije nikuue uzifuate hizo thawabu.
 
Back
Top Bottom