Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Wazee wa kula vichwa wapo kwenye vyumba vya Rada wanatafuta location nzuri ,labd alipojificha raia ni wengi wanasubili wapungue
Uko sahihi kuna mahali nilisoma alipojificha ni maeneo lenye watu wengi na shughuli nyingi za kibiashara hayuko eneo la kijeshi
Yuko kajificha kwenye msikiti mmoja wenye bunkers chini ya ardhi eneo lenye watu wengi lakini Mossad wenyewe washamuona alipo na anaumwa amekuwa akipekewa matibabu huko ndani
Wanangoja tu wakati muafaka wanamla kichwa
 
Imeripotiwa F-35 kama 4 zilisha-cross Persian Gulf ghafla zikaghairi. Ripoti zinasema yangekuwa maangamizi ya hatari enemy kajichanganya na umma.
Israel hawezi peleka ndege chache hivyo kushambulia Iran, lazima atapeleka ndege zaidi ya 100

Kumuua Nasrallah pekee kapeleka ndege 20
 
Ha ha ha! Huwa wanapenda kutuma vidagaa huku yenyewe yakijichimbia maficho ya hatari! Kifo kisikie tu mazee; hakuna anayependa kupoteza uhai basi tu.
Urusi wamekisanua.

IDF F 35 ziko njiani kuelekea Tehran.

Yale madege yana sura mbaya kinoma.
 
Back
Top Bottom