Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Titizo la vita ni kwamba ukishachagua kupigana basi ujue hauns nafasi ya kumlazimisha adui wako asipate support kutoka sehemu nyingine. Vita haina refarii, kama hujajipanga usikurupuke kushiriki

Tatizo ni kuwa mwenye vita vyake anasema je?

IMG_20241004_074933.jpg


Bila huyo itakuwa je sasa?
 
Lakini si hicho cha kujitakia. Unajua kabisa Israel inawawinda viongozi, na wewe eti unakubali kuwa kiongozi!

Biblia si inasema tusiogope mwenye kuuwa mwili?

Kwani nani atakuwapo duniani siku zote?
 
Israeli ingechagua diplomacy na iwaache hawa waarabu waishi bila hivyo maisha yote watakuwa na vita maana kuna vitoto vilizaliwa 2006 viliona ile vita leo ndo vinaisumbua Israeli. Hawa wanaozaliwa na kukulia kwenye hii vita ya 2024 watakuwa na visasi na wakiwa wakubwa MISSION YAO ITAKUWA KULIPA KISASI TENA, sasa Israeli imechagua hvyo na ikumbukwe waarabu wanafyatua sana watoto hao kuwapunguza sahau😄😄😄😄 wape mda utajua hujui. Israeli ingekubali kuishi nao au wagawane maeneo. lasivyo iue waarabu wote wa palestina na nchi zote na kiarabu hapo ndo wataishi kwa amani.
Nsunga mkono hoja.
 
Muislam akifa ktk jihad ni ufahari kwake na tafauti na kafiri

Mkuu, Yesu Kristo (Mt. 10:28) anasema:

"Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum."

Ya kuwa kumbe yote ni ubatili mtupu!
 
BIG BREAKING NEWS 🚨 Iran's Supreme Leader Ali Khamenei has been relocated from Safe location to EXTREMELY Safe Location.

MOSSAD has reportedly discovered his hiding place.

Ali Khamenei is very scared. Iran common people are also angry with him.

This has left Khamenei in a state of fear as public anger in Iran continues to mount against him. With tensions escalating, Israel is poised to launch a decisive operation at any moment to defend its interests.

Khamenei's terror tactics have only fueled a stronger resolve against terrorism worldwide. The clock is ticking, and the stakes couldn't be higher for Khamenei and his regime!

Israel can launch operation at any moment in order to defend itself.

View attachment 3115893
Wayahudi wa Newala sasa!
 
Israeli ingechagua diplomacy na iwaache hawa waarabu waishi bila hivyo maisha yote watakuwa na vita maana kuna vitoto vilizaliwa 2006 viliona ile vita leo ndo vinaisumbua Israeli. Hawa wanaozaliwa na kukulia kwenye hii vita ya 2024 watakuwa na visasi na wakiwa wakubwa MISSION YAO ITAKUWA KULIPA KISASI TENA, sasa Israeli imechagua hvyo na ikumbukwe waarabu wanafyatua sana watoto hao kuwapunguza sahau😄😄😄😄 wape mda utajua hujui. Israeli ingekubali kuishi nao au wagawane maeneo. lasivyo iue waarabu wote wa palestina na nchi zote na kiarabu hapo ndo wataishi kwa amani.

Tatizo ni kuwa Israel Iko kama imepagawa. Kimsingi hayupo anayewaelewa:

IMG_20241005_071508.jpg
 
Mkuu Yesu Kristo (Mt. 10:28):

Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.

Ya kuwa yote ni ubatili

Our beloved Khamenei is very scared of death!Doesn't he like to be merely articulated to the beloved martyrs?You bloody bearded hooligan,come out of your hideout!😂😂😂😂🙏
Fake news
 
Back
Top Bottom