Ayemeric Laporte: wachezaji wengi waliotoka Ligi za Ulaya wamechoshwa na maisha ya Saudi Arabia

Ayemeric Laporte: wachezaji wengi waliotoka Ligi za Ulaya wamechoshwa na maisha ya Saudi Arabia

Una pesa ambazo huwezi kuzitumia ipasavyo sehemu za starehe nyingi zinaonekana ni dhambi.🙌😂😂
Nchi msaafu ndio katiba

Yaani me kukaa sehemu ambayo hakuna kitimoto ana beer aisee siwezi🚮🚮.😂
 
Mchezaji wa Zamani wa Manchester City amekuja hadharani na kusema maisha ya Saudi Arabia yamekuwa ndoto za alianacha kwa wachezaji waliotoka ulaya

"Tunawasiliana na wachezaji wengi hapa miongoni mwa waliotoka bara la ulaya, wengi wanaonyesha hawafurahii kabisa maisha ya hapa... Lakini ni changamoto tunajarubu kujifunza"

Hapa Saudi Arabia kila kitu wanaichukulia kwa uzito mdogo, mchezo wa uwanjani bado ni dhaifu bado labda wataboresha kwa kuwa bado wachanga

Pia ni kuhusu wao na maisha yao unaweza kukaa kwenye folen masaa matatu na mambo mengine kama hayo nje ya uwanja

Serkali ya kifalme mjini riadhi imetenga mabilion ya dola kuvisaidia vilabu kadhaa nchini humo kusajili majina makubwa ili kuipeleka saud arabia duniani pmj na maadili yake

Mtakumbuka kuwa baadhi ya wachezaji wamesharudi ulaya na wengine wapo kwenye mazungumzo kuondoka uarabuni kutokana na kutoridhishwa na maisha nchini saudi arabia

Credit :as
Screenshot_20240121_191324_Instagram.jpg
 
Serkali ya kifalme mjini riadhi imetenga mabilion ya dola kuvisaidia vilabu kadhaa nchini humo kusajili majina makubwa ili kuipeleka saud arabia duniani pmj na maadili yake
Ndivyo wadaudia wanavyodanganywa..... Kuingiza mipira na umagharibi kwenye Ardhi ya Mtume huku ukiwadanganya untangaza Saudia Duniani na Maadili yake?
 
Kwan hapa tunaongelea utofauti wa kimwili, au utofauti wa kifikra na tamaduni, wazungu na waarabu wana tamaduni sawa??
Tofauti za kifikra na kitamaduni hazileti tofauti kwenye maswala ya starehe kwasababu starehe inahusisha hisia(feelings) ambazo ni swala la kisayansi zaidi na sio tamaduni Wala fikra,kama ambavyo waafrica,waamerica,wazungu starehe yao kubwa ni ngono,basi na waarabu nao ni hivyohivyo,hawana utofauti wowote ule,kama unabisha nambie starehe za waarabu ambazo ni tofauti na race nyengine
 
Tofauti za kifikra na kitamaduni hazileti tofauti kwenye maswala ya starehe kwasababu starehe inahusisha hisia(feelings) ambazo ni swala la kisayansi zaidi na sio tamaduni Wala fikra,kama ambavyo waafrica,waamerica,wazungu starehe yao kubwa ni ngono,basi na waarabu nao ni hivyohivyo,hawana utofauti wowote ule,kama unabisha nambie starehe za waarabu ambazo ni tofauti na race nyengine
Kabla ya kufika huko kwa hao waarabu na wazungu, tuanze na sisi kwanza, Mm na wewe sisi sote ni waafrica, je tuna share the same interests? Je, starehe zako na zangu zinafanana??
 
Back
Top Bottom