azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Anasafari ndefu kuangusha ufalme wa Manula yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani Manula achomwe moto kabisa huk aliko kenge yule sio wakutufungisha sis kisa pesa ya magodoroconfirmed & sealed:
ayub lakred ni mwamba, golie la dunia,
golini leo angekuwepo aishi mashuka tungekula kamba kama 4 hivi
Aisee.......Nilisema toka mwaka Jana, narudia tena Ayub lakred ndiye golie bora africa. walionitukana waje tena, aishi manula is no more.
uhakika ni kwamba kwenda robo fainali club bingwa tumebebwa na mikono elfu ya ayub. angekaa golini manula hasa mechi zote za wydad home &away tungepigwa.
MECHI YA JANA YALE MAGOLI AYUB HAWEZI KUFUNGWA.
yaani timu yote inaenda kucheza kona wachezaji wote wamevuka mstari wa kati kati golikipa umeganda golini kwako unafanya nini?? unavuta shisha?? manula ni m$3ng3 square,
mchezaji yupo kwenye impossible angle wewe unatanua miguu kama unataka kupigwa miti kama si ujinga ni nini?? angebana miguu akaziba kwenye mlingoti mfungaji hawezi kufunga kwenye angle hiyo.
ndivyo vile bhana manula sio kipa.
nimemaliza.
Kama anataka kupigwa miti? Manula ni kipa bora mbele ya ayubu kufungwa ni moja ya matokeo tukubaliNilisema toka mwaka Jana, narudia tena Ayub lakred ndiye golie bora africa. walionitukana waje tena, aishi manula is no more.
uhakika ni kwamba kwenda robo fainali club bingwa tumebebwa na mikono elfu ya ayub. angekaa golini manula hasa mechi zote za wydad home &away tungepigwa.
MECHI YA JANA YALE MAGOLI AYUB HAWEZI KUFUNGWA.
yaani timu yote inaenda kucheza kona wachezaji wote wamevuka mstari wa kati kati golikipa umeganda golini kwako unafanya nini?? unavuta shisha?? manula ni m$3ng3 square,
mchezaji yupo kwenye impossible angle wewe unatanua miguu kama unataka kupigwa miti kama si ujinga ni nini?? angebana miguu akaziba kwenye mlingoti mfungaji hawezi kufunga kwenye angle hiyo.
ndivyo vile bhana manula sio kipa.
nimemaliza.
aiseee nisikitike kukuambia hivi hujui bolu mkuu, hivi timu nzima wanashambulia wako nusu ya upande wa adui wewe golie umejikalisha goli kwako una akili au matope??? ile kaunta ataki jana angekuwa ayub angemlamba mbangula chenga na kofi juu,Kama anataka kupigwa miti? Manula ni kipa bora mbele ya ayubu kufungwa ni moja ya matokeo tukubali
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app