Sure amepanik sana hayo siyo ya fb.matumizi ya social media ya limits zake
I think amepanic
Ili mradi Rioba hapendwi, misukule lazima wamshushie gharika.Hako ka fb account sio fake kweli?
Halafu hata hiyo Ayub ina walakin. Itapendeza ikiwa Ayubu. Tafakari.Anaitwa Ryoba na sio Rioba
Anatumia FacebookKatika ukurasa wake wa Fb ambao amekuwa akiutumia mara kwa mara ameandikwa kufuatiliwa na Takukuru kwa tuhuma za rushwa. akidai kuwa atafunguka.
Tetesi za ndani ni kuwa Rioba amefurushwa TBC na nafasi yake kuchukuliwa na Jafar Haniu aliyekuwa msemaji Ikulu
View attachment 2122531
Umenikumbusha "TAKOSHIRI" miaka hiyo RTD..Tumsubiri yeye Rioba atoe ukweli au Takohuru ili sisi wananchi tutoe hukumu.
Wacha wenyewe waje kutujuzaKatika ukurasa wake wa Fb ambao amekuwa akiutumia mara kwa mara ameandikwa kufuatiliwa na Takukuru kwa tuhuma za rushwa. akidai kuwa atafunguka.
Tetesi za ndani ni kuwa Rioba amefurushwa TBC na nafasi yake kuchukuliwa na Jafar Haniu aliyekuwa msemaji Ikulu