Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie mkurugenzi mwingine tofauti na huyu ambaye hakua akisifia mtawala aliyepo madarakani; Tido Muhando mwenyewe nae alikua akifanya kwa kutumia akili kubwa sana but TBC wote ni wale wale tuMpuuzi huyu alikuwa anaendesha vimijadala uchwara pale tbc kumsifu magufuli sasa afe na lwake
Akaunti feki hii, wanaa hawampendiKatika ukurasa wake wa Fb ambao amekuwa akiutumia mara kwa mara ameandikwa kufuatiliwa na Takukuru kwa tuhuma za rushwa. akidai kuwa atafunguka.
Tetesi za ndani ni kuwa Rioba amefurushwa TBC na nafasi yake kuchukuliwa na Jafar Haniu aliyekuwa msemaji Ikulu
Alikua mtu makini na mwenye misimamo wakati yupo ITV kupitia kipindi cha sema usikike. Kumbe ilikua njaa tu alipopatiwa ulaji akawa nyota wa kusifia na yale aliyikua anayakandia sema usikike na kukandia yale aliyokua anayasifia.Mpuuzi huyu alikuwa anaendesha vimijadala uchwara pale tbc kumsifu magufuli sasa afe na lwake
Acha yamkute kwani kipindi kile akiwa UDSM, alikuwa mwanaharakati mzuri sana, ila alipopata tu ukurungenzi wa tbc akawa mtetezi mkubwa sana wa jiwe, na kuwaona wenzake aliokuwa nao , kuwa wanatumiwa na mabeberu.Mpuuzi huyu alikuwa anaendesha vimijadala uchwara pale tbc kumsifu magufuli sasa afe na lwake
Katika ukurasa wake wa Fb ambao amekuwa akiutumia mara kwa mara ameandikwa kufuatiliwa na Takukuru kwa tuhuma za rushwa. akidai kuwa atafunguka.
Tetesi za ndani ni kuwa Rioba amefurushwa TBC na nafasi yake kuchukuliwa na Jafar Haniu aliyekuwa msemaji Ikulu
Huu ndiyo ukweli wenyewe. Msema kweli ni mpenzi wa MunguHuyu Rioba Mwaka Jana Alijiuzuru Mpaka Ikawekwa Hapa Lakini Akakausha
Muda Huu Tena Atupishe Akanywee Kikombe Kilichofurika Na Kusukwasukwa
Nasema Uongo Ndugu ZanguHuu ndiyo ukweli wenyewe. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu