Ayub Rioba aitisha mkutano na waandishi wa habari Februari 21, 2022 kuhusu madai ya rushwa

Takukuru wameajiriwa kufanya kazi hii kinachozibitisha kuwa sio sahihi ni mahakama mbona unajiwahi kujikosha

Takukuru fanyeni kazi zenu za kawaida za kila siku sisi Kama Taifa tunawaunga mkono
 
Kuna kila dalili Ayubu akaamua kung'atuka ili kulinda heshima yake.Ni muda sasa ukifuatilia mwenendo wake kwenye hii taasisi unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa mawazoni mwake.
 
Kuna kila dalili Ayubu akaamua kung'atuka ili kulinda heshima yake.Ni muda sasa ukifuatilia mwenendo wake kwenye hii taasisi unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa mawazoni mwake.
Heshima gani aliyokuwa nayo? Na hiyo heshima aliipata wapi?
 
Kuna kila dalili Ayubu akaamua kung'atuka ili kulinda heshima yake.Ni muda sasa ukifuatilia mwenendo wake kwenye hii taasisi unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa mawazoni mwake.
Heshima ipi ?
 
Naona pia kama anawashambulia
 
Kama wenye majina Paulo, Christian, Alfred walivyokuwa wananeemeka awamu iliyopita
Umekosea. Awamu ya tano ilikua Masanja, Masunga, Mabula, Maduhu, Mafisi, Makonda, Gwajima etc.
Tunasubiri ijayo ya kina Deceiver, Mshana, Kimaro, Mbise, Mkiriramweni na Mollel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…