Azam amepunguza kipimo cha Azam Ukwaju.

Azam amepunguza kipimo cha Azam Ukwaju.

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.

1721980477473.png


Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.

1721980630538.png

Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
 
Hata mimi nashangaa

Ndio maana sasa hivi wanawake wengi wanalalamika wanaume hamna kitu kitandani

Sasa dume linakula Ashkirimu kuna mwanaume hapo?
mwanaume anatakiwa kulalamika ugari umekuwa mlaini.kwa nini maharage yanaongezwa viungo vya mboga.yani huyu katufanya JF tukikoment tunaonekana wanawake humu
 
Back
Top Bottom