Azam amepunguza kipimo cha Azam Ukwaju.

Azam amepunguza kipimo cha Azam Ukwaju.

Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.

View attachment 3052605

Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.


Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Dogo kaitoboa kanyonya kidogo.
 
Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.

View attachment 3052605

Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.


Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Nilidhani pekeangu, hadi nimeacha kuzinunua siku hizi, yani zinazidiwa ukubwa na ice cream za 100 mtaani
 
Mwanaume rijali kulalamika ashkrimu haijaenea kuna Shida

Tanzania bila mashoga ya kiume inawezekana

How comes dume zima linalalamika kuwa Ashkrimu au lambalamba zimepungua ujazo?

Wazazi hasa wa kike wazaa mtoto wa kiume muwe makini na watoto wenu wa kiume wakiwa watu wazima mkiona wanapenda kula sana Ashkrimu na lambalamba wakiwa wakubwa mjue mumezaa mitoto sio riziki mumezaa mishoga
Wanaume na nyie muwe cooperative kwenye malezi...mfundishe mtoto wa kiume kuwa mwanaume na sio kutuachia sisi tu
 
Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.

View attachment 3052605

Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.


Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Wakiongeza bei unalalamika wakipunguza kipimo unalalamika sasa tufanyaje?
 
images-1.jpeg
 
Kuna mawazo ukiwa nayo unaweza kushindwa kuishi maisha yako to the fullest

Jamii zetu uncivilized society zinataka mwanaume

Ale ugali Ila asile ice cream au ukwaju
Zinataka mwanaume ateseke awe mtu wakuangaikia wanawake tu na sio kukaa ku-Enjoy maisha.

Hii imepelekea kukuta kijana anafanya kazi ngumu Pesa yake anaishia kufurahisha wanawake.

Vijana msiache Ku-Enjoy kwa kufatisha mob-psychology

Saidieni wanawake Ila msifanye mambo kwa kuogopa watu don't do that ..kula ice cream ,ukwaju Enjoy ur life
 
Kwamba Mwanaume kulamba (kunyonya) Ice cream ya Azam ni dhambi,ila mwanaume huyo huyo kunyonya "K" ya Mwanamke si dhambi!

Kwamba Mwanaume kunyonya Ice Cream mbele ya Mwanamke ni dhambi,ila mwanamke kunyonya uume wa Mwanaume si dhambi!


Watu wengi humu ndani ni WAJINGA sijapata ona!
 
Back
Top Bottom