DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwa mwanaume ni sawa kunyonya ice cream 🙄
Kawaida tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwanaume ni sawa kunyonya ice cream 🙄
Dogo kaitoboa kanyonya kidogo.Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.
View attachment 3052605
Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Nilidhani pekeangu, hadi nimeacha kuzinunua siku hizi, yani zinazidiwa ukubwa na ice cream za 100 mtaaniWanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.
View attachment 3052605
Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Wanaume na nyie muwe cooperative kwenye malezi...mfundishe mtoto wa kiume kuwa mwanaume na sio kutuachia sisi tuMwanaume rijali kulalamika ashkrimu haijaenea kuna Shida
Tanzania bila mashoga ya kiume inawezekana
How comes dume zima linalalamika kuwa Ashkrimu au lambalamba zimepungua ujazo?
Wazazi hasa wa kike wazaa mtoto wa kiume muwe makini na watoto wenu wa kiume wakiwa watu wazima mkiona wanapenda kula sana Ashkrimu na lambalamba wakiwa wakubwa mjue mumezaa mitoto sio riziki mumezaa mishoga
duhwe hupo jinsia gani hapa
View attachment 3052623
Wakiongeza bei unalalamika wakipunguza kipimo unalalamika sasa tufanyaje?Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.
View attachment 3052605
Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Kucha 🔥🔥🔥🔥🔥Nauza ukwaju buku jero, wanaume bure 😛View attachment 3052632
Mambo my 😎Nauza ukwaju buku jero, wanaume bure 😛View attachment 3052632
Na tena ukwaju wangu mtamu balaa, yn ukiwa unaunyonya n lazima ufumbe macho kwa utamu unaoupataalambaa alamba tena aaam
weekend inakuendea vibaya wewe,hebu amka ukoNa tena ukwaju wangu mtamu balaa, yn ukiwa unaunyonya n lazima ufumbe macho kwa utamu unaoupata
Em njoo PM tuone namna ya kukulambisha ukwaju wangu 😎weekend inakuendea vibaya wewe,hebu amka uko
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Em njoo PM tuone namna ya kukulambisha ukwaju wangu 😎