Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 8,900 Reaction score 28,398 Jul 27, 2024 #61 Mbaga Jr said: Mambo my π Click to expand... Poa shemeji Mbaga Jr za weekend...
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jul 27, 2024 #62 Bantu Lady said: Poa shemeji Mbaga Jr za weekend... Click to expand... Dah kwan kulikuwa na ulazima wa kuniita shemeji π mpaka nilichotaka kusema nmesahu π sijapenda
Bantu Lady said: Poa shemeji Mbaga Jr za weekend... Click to expand... Dah kwan kulikuwa na ulazima wa kuniita shemeji π mpaka nilichotaka kusema nmesahu π sijapenda
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 8,900 Reaction score 28,398 Jul 27, 2024 #63 Mbaga Jr said: Dah kwan kulikuwa na ulazima wa kuniita shemeji π mpaka nilichotaka kusema nmesahu π sijapenda Click to expand... ππππ pole shem, hata kama si kule. Hata kwangu wewe ni shem nimeibiwa huko kwenu.
Mbaga Jr said: Dah kwan kulikuwa na ulazima wa kuniita shemeji π mpaka nilichotaka kusema nmesahu π sijapenda Click to expand... ππππ pole shem, hata kama si kule. Hata kwangu wewe ni shem nimeibiwa huko kwenu.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jul 27, 2024 #64 Bantu Lady said: ππππ pole shem, hata kama si kule. Hata kwangu wewe ni shem nimeibiwa huko kwenu. Click to expand... Ah bc unyama, msalimie jamaa π₯ bila shaka huyo mpare hapo anawakilisha wapare kuwa n mume/baba bora π
Bantu Lady said: ππππ pole shem, hata kama si kule. Hata kwangu wewe ni shem nimeibiwa huko kwenu. Click to expand... Ah bc unyama, msalimie jamaa π₯ bila shaka huyo mpare hapo anawakilisha wapare kuwa n mume/baba bora π
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Jul 28, 2024 #65 Baba zima unanyonya hivyo vitu vya watoto?
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 6,944 Reaction score 14,351 Jul 28, 2024 #66 Mi ndo naziona Leo. Huku Kanda ya Ziwa JAMKAYA(JAMBO) kampiga Sana Usipotembea Nje na mikoa ya Kanda ya Ziwa huwezi jua Kuna Azam ama uhai Kwa upande wa maji
Mi ndo naziona Leo. Huku Kanda ya Ziwa JAMKAYA(JAMBO) kampiga Sana Usipotembea Nje na mikoa ya Kanda ya Ziwa huwezi jua Kuna Azam ama uhai Kwa upande wa maji