Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Kama huwezi kusoma kwanini uwe msomaji?Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......
🤣🤣🤣Kuna umuhimu Jamii forum kuweka interview kwa wanachama wake....maana hata hili pia nalo kaja kufungulia Uzi..... Masikini ana roho mbaya Sana kwa matajili
Unaijua tasnia ya habari hata kwa bahati mbaya,Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......
Akili za maliwatoni hizoAnzisha TV yako na kanisa lako muwe mnasoma habari za kikatoliki tu ili nafsi zenu na huyo mwenye heri ziwe kwatuuu!
Mimi sio mjinga wa kujipambanua kwa UdiniMbona kuna king'amuzi cha continental kimejaa channels za kanisa,Kwa nn usinunue hicho mkuu ukasuuzika roho yako
azam hawana udini acha uongo wako,wanaajiri wakristo na waislamu tena kwenye vyeo vya juu kabisaAkisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Ni wadini balaaKama huwezi kusoma kwanini uwe msomaji?
Mkuu Hakuna udini kwenye kumtaja Maria kwa sababu kuna msikitini upo UAE nahisi uko Abu dhabi unaitwa Msikiti wa Mary mother of jesus..Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Si ndio maana walisomea mkuu,Hapo udini unakujaje? Hivi unadhani kusoma taarifa ya habari ni jambo la mchezo? Umewahi hata kusoma risala wewe??