Kwani ni jiepesi kwa kila mtu, ndounavo fikiria?wengi hatuwezi kitamka hayo majina.Yaan ashindwe kutamka "Maria Theresa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni jiepesi kwa kila mtu, ndounavo fikiria?wengi hatuwezi kitamka hayo majina.Yaan ashindwe kutamka "Maria Theresa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious
Uongoo mtupuKwani ni jiepesi kwa kila mtu, ndounavo fikiria?wengi hatuwezi kitamka hayo majina.
Wacongoman mambururaSalama angalia M23 wasije wakakuondoa mtani mnawaibia wacongoman rasilimali zao kupeleka rwanda 🤣.
Mtani miraa ni mihadarahati hapo tz kifungo miaka 30,,,🤣🤣🤣🤣 na kusaga miraa.
🤣🤣Wacongoman mamburura
Wao wanawaza kukata mauno tu daily
Na kuvaa kama wafaransa mtani
Hivi kumbe ni kilatini..!!! mimi nimeona ni kiswahili..!! Sasa kama mtangazaji anashindwa kusoma maneno ya kiswahili, si abadili kazi tu..!!Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......