Mimi ninatumia Azam, ila toka nilipie mwaka 2020, hadi leo sijawahi kulipia. Kitonga ya taarifa ya habari hunitosha. Mengine sinaga shobo nayo.Mbona kuna king'amuzi cha continental kimejaa channels za kanisa,Kwa nn usinunue hicho mkuu ukasuuzika roho yako
Acha kushupaza shingo wana udini mpaka kwenye kmapuni yenyewe kwenye viwanda na hata kwenye issue ya kuuuza ice cream tafuta utajua haya maneno hayaji bahati mbaya.Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......
tafuta hela wewe.. umasikini utakuuwa acha ujinga shuwain!Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
nina uhakika kabisa azam sio mali ya waislam mkuu.Anzisha TV yako na kanisa lako muwe mnasoma habari za kikatoliki tu ili nafsi zenu na huyo mwenye heri ziwe kwatuuu!
Mwenzio anasemea kwenye TV wewe unasema mengine, hujui udini uko je, kila kampuni ina malengo au goals zake mkuu, sio rahisi kuweka Imamu kua mkusanyeje wa sadaka kanisani na sio udini kuajiri katikista kua mpiga kengere kanisani au mkusanya sadaka, elewa goals za kila firm.Acha kushupaza shingo wana udini mpaka kwenye kmapuni yenyewe kwenye viwanda na hata kwenye issue ya kuuuza ice cream tafuta utajua haya maneno hayaji bahati mbaya.
Gaidi wahel, hela hatafutwi inakuja yenyewe mbwa kokotafuta hela wewe.. umasikini utakuuwa acha ujinga shuwain!
sasa ina maana gani kwa tv sio kampuni moja ya azam ama inajulikana ni kampun ya nani hilo mbona liko wazi?Mwenzio anasemea kwenye TV wewe unasema mengine, hujui udini uko je, kila kampuni ina malengo au goals zake mkuu, sio rahisi kuweka Imamu kua mkusanyeje wa sadaka kanisani na sio udini kuajiri katikista kua mpiga kengere kanisani au mkusanya sadaka, elewa goals za kila firm.
elewa nayokwambia wanaswala la udini mfano tuu kuna jamaa alikosa kazi kisa tuu anaikwa peter sehemu kwa hao hao sitotaja ila ni kweli udini wanao waache hio inaharibu sana.Mwenzio anasemea kwenye TV wewe unasema mengine, hujui udini uko je, kila kampuni ina malengo au goals zake mkuu, sio rahisi kuweka Imamu kua mkusanyeje wa sadaka kanisani na sio udini kuajiri katikista kua mpiga kengere kanisani au mkusanya sadaka, elewa goals za kila firm.
hii nchi Ina vijana wa hovyo sana [emoji1787][emoji1787]..hela haitafutwi inakuja yenyewe? siriasi? ndo maana unaroho ya kimasikini "tafuta hela lofa wewe" uache chuki kwa AzamGaidi wahel, hela hatafutwi inakuja yenyewe mbwa koko
AiseeMtoa mada nadhani kidogo dishi limeyumba, yaani uumie kisa mwandishi amekosea kutaja jina la kanisa? Like seriously??? Kwenye maisha haya yenye shida na Karaha lukuki bado mtu ujiongezee stress za kutajwa jina la kanisa? Alafu then inakusaidia nini kwenye maisha yako? Ifike kipindi tuwe serious kwenye mambo ya msingi yanayotuletea tija.
Mbona radio Maria inatumia masafa ya umma na hakuna anayewapangiaHicho chombo mjue kinatumia masafa ya umma, umma huu watu wake wana dini zao japo nchi hii haingozwi kwa misingi ya kidini. Bila shaka azam media sio chombo cha habari cha kidini na hakipaswi kuonekana kina element za dini fulani kwa kuwa mmiliki wake ni muumini wa dini fulani. Wanapaswa kwenda kufanya coverage ya matukio ya kitaifa ya dini ambayo mmiliki wake haabudu huko. Kama kuna habari inataja eneo fulani, kanisa fulani itaje tu kama ilivyo bila kuona ukakasi ki imani/dini. Kama kanisa linaitwa moyo mtakatifu wa Yesu kuna ibada ya kitaifa imefanyika huko au kiongozi wa kitaifa kasali pale na kufanya iwe habari basi isomeke hivyohivyo. Labda hicho chombo kingekuwa cha kidini hapo tungeona ni sawa kuona ukakasi kutaja maneno ambayo hawapaswi kuyatamka kwa mujibu wa imani/dini yao. Siku hizi kuna redio za kidini ambazo hazina kizuizi cha kuandika na kusoma habari za dini nyingine maadamu zinahusu wananchi wote kwa ujumla
Huna elimu ya kutosha, unatafuta kitu ulichopoteza, hela haitafutwi, inatengenezwa. Elimu ndogo ya madarasa unakusumbuahii nchi Ina vijana wa hovyo sana [emoji1787][emoji1787]..hela haitafutwi inakuja yenyewe? siriasi? ndo maana unaroho ya kimasikini "tafuta hela lofa wewe" uache chuki kwa Azam
ile ni redio ya dini, azam kama wangekuwa ni wa maudhui ya dini tu tusingehoji udini wakeMbona radio Maria inatumia masafa ya umma na hakuna anayewapangia
Sasa kama inarusha maudhui mengine tofauti na ya dini Sasa udini unatoka wapi?ile ni redio ya dini, azam kama wangekuwa ni wa maudhui ya dini tu tusingehoji udini wake
azam inaona ukakasi kutaja matamshi yanayohusu dini ambayo mmiliki wake haabudu huko. Krismasi inakuja tutaona kama azam ita cover vema msimu huo wa krismasiSasa kama inarusha maudhui mengine tofauti na ya dini Sasa udini unatoka wapi?
Kwaiyo ni lazima kufanya hayo?azam inaona ukakasi kutaja matamshi yanayohusu dini ambayo mmiliki wake haabudu huko. Krismasi inakuja tutaona kama azam ita cover vema msimu huo wa krismasi
Mkuu nawafahamu vizuri sn wale ni wadini tupuAzam media udini hana, kuna wakristo wengi sana pale Azam, almost ni 50/50
Heb piga hesabu za watangazaji wao, utaona ni 50/50,Mkuu nawafahamu vizuri sn wale ni wadini tupu