Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Tusitegwmee kabisaaaaaaHatimaye kampuni ya Azam kupitia kiwanda chake cha Bagamoyo Sugar wameanza uzalishaji rasmi.
Je tutgemee, unafuu kwenye bidhaa ya sukari nchini?View attachment 2285491
Kama ukikopi inakulipa hakuna tatizo.Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Pia utasikia jambo sugar bunonu wamukayaMo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Bei zake zikojeHongera nyingi sana kwa TAJIRI MZALENDO Mzee wetu, Kipenzi cha watanzania na Afrika kwa ujumla SSB.
Unaonaje na wewe ukianza kufanya huo ujanja ujanja [emoji3][emoji3]Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
bei ni za kizalendo kabisaa, reasonable &affordable.Bei zake zikoje
Ova
Hajawahi kufeli πππAzam yuko vizuri. Hajawahi kishindwa kwenye kila biashara anayo ianzisha.
Mo sugar ipo zaidi ya miaka mitatu. Ipo ya package 1kg, mfuko mmoja ziko packti 20...Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
......AKA Copy & Paste !!Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.