mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Azam sugar anauzaje yeye mkuuMo kanja nja wa bidhaa. Atatengeneza hovyo hovyo mifuko inajipasukia yenyewe stoo.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam sugar anauzaje yeye mkuuMo kanja nja wa bidhaa. Atatengeneza hovyo hovyo mifuko inajipasukia yenyewe stoo.
Bei zake zikojeNimefurahi mpaka kwenye sakafu ya moyo wangu
Mo sugar ipo sokoni tangu mwaka jana mkuu. Niliona kwenye store yake ya pale kisutu.Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Acha uongo ndugu, biashara nyingi tu alianzisha Ila soko likagoma. Mfano maandazi na chapati havipo sokoni.Azam yuko vizuri. Hajawahi kushindwa kwenye kila biashara anayo ianzisha.
Azalishe sasa kwa wingi ili sokoni bei ishuke
Ni sahihi kodi hapoTusitegwmee kabisaaaaaa
Yatakuwa yale yale maana wazalishaji wetu wa ndani ukiwa uliza kuhusu bei wao jibu ni simple tu PRODUCTION COST ni kubwa
Hawezi kukubaliwa hiliAjenge power plant yake ya kuzalisha umeme atumie makaa ya mawe Ili kupata umeme wa kuendesha kiwanda , Ili apunguze gharama za uzalishaji Ili atuuzie bei chini sukari anaweza akauza sh 1800 kwa kilo, asipotumia umeme wa Tanesco.
Aige tu...sukari ishuke bei...Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
aisee we na huyo Magu wako, unahisi ukimtajataja kina Joseph watakupa ajira upooze njaa bibie,Na hilo ndio lilikuwa lengo la Mangu kuzuia sukari tokgsa nje ili watu wetu waingize mitaji huko.
Wapumbavu wakaanza kumtukana ila wenye akili ndio kama hivyo wameanza kuvuna matunda
Nani wa kuzuia kwani kuna masharti ya kutafuta vyanzo vya nishatiHawezi kukubaliwa hili
Namaanisha kuna watu wanaleta sukari hizo toka nje na kuuza bei ya kutupa, hivyo kudhoofisha mno viwanda vya ndani, hata hicho kinaweza kisipone. JPM aliposema hakuna mtu kuagiza sukari bila yeye mwenyewe kutoa kibali hakuwa mjinga!Kumbe halimi miwa ili azalishe sukari auze
Ova
Namaanisha kuna watu wanaleta sukari hizo toka nje na kuuza bei ya kutupa, hivyo kudhoofisha mno viwanda vya ndani, hata hicho kinaweza kisipone. JPM aliposema hakuna mtu kuagiza sukari bila yeye mwenyewe kutoa kibali hakuwa mjinga!
Ili kumkomoa, syndicates za wafanyabiashara hawa wenye asili ya Asia wakawa wanaenda kuweka order kubwa za sukari viwandani, kisha wanaenda kuficha kwenye magodown na kutengeneza uhaba mkali sana, hivyo ikabidi seriakli iruhusu tena uagizaji wa sukari. Umasikini wa hii nchi ni wa kutengenezwa tu, hatabukisefu wa ajira, tunatengenezewa tu.
Una una uhakika na usemachoSukari iliyo-epire toka Brazil inakuwa repackaged na kuja kuuzwa huku kwa bei ya kutupa, hicho kiwanda kitapona sasa?
Mbona Baba yako wewe hajakopiMo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Wewe una uhakika na ukipingacho?Una una uhakika na usemacho
Ipo muda mrefu toka 2010 naiona kwenye godown lake la KiutaMo sugar ipo sokoni tangu mwaka jana mkuu. Niliona kwenye store yake ya pale kisutu.
Nimekuelewa..Namaanisha kuna watu wanaleta sukari hizo toka nje na kuuza bei ya kutupa, hivyo kudhoofisha mno viwanda vya ndani, hata hicho kinaweza kisipone. JPM aliposema hakuna mtu kuagiza sukari bila yeye mwenyewe kutoa kibali hakuwa mjinga!
Ili kumkomoa, syndicates za wafanyabiashara hawa wenye asili ya Asia wakawa wanaenda kuweka order kubwa za sukari viwandani, kisha wanaenda kuficha kwenye magodown na kutengeneza uhaba mkali sana, hivyo ikabidi seriakli iruhusu tena uagizaji wa sukari. Umasikini wa hii nchi ni wa kutengenezwa tu, hatabukisefu wa ajira, tunatengenezewa tu.