LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Itakuwa sawa na nyingine. Kama ikipungua itakuwa ni kwa muda mfupiBei zikoje
Kg1,k2,kg25 nk
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa sawa na nyingine. Kama ikipungua itakuwa ni kwa muda mfupiBei zikoje
Kg1,k2,kg25 nk
Ova
Aaaah wapi...! Mimi zufli hali.Unaonaje na wewe ukianza kufanya huo ujanja ujanja [emoji3][emoji3]
Inakwendaje kwa kg 1bei ni za kizalendo kabisaa, reasonable &affordable.
Dangote alitaka kuuza simenti yake 8,000 watu wakamzingua mpaka kapotea...hivyo tusahau unafuu wa sukari bei itabaki palepaleHatimaye kampuni ya Azam kupitia kiwanda chake cha Bagamoyo Sugar wameanza uzalishaji rasmi.
Je tutgemee, unafuu kwenye bidhaa ya sukari nchini?View attachment 2285491
Hongera sana kwakeAzam yuko vizuri. Hajawahi kishindwa kwenye kila biashara anayo ianzisha.
Azalishe sasa kwa wingi ili sokoni bei ishuke
Mwagilia moyoNimefurahi mpaka kwenye sakafu ya moyo wangu
OK kazi kazi acha nimwagilie kwa kipenda rohoMwagilia moyo
Hili ndilo la muhimu. Mengine yote ni makelele tu. Ukikuta bei ni kubwa kuliko ya nje itakuwa hakuna nafuu. Inatakiwa iwe chini.Bei zikoje
Kg1,k2,kg25 nk
Ova
Unamsema Boss Dr. Mo. Unataka akasirike aisuse timu yetu!Mo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Mo kanja nja wa bidhaa. Atatengeneza hovyo hovyo mifuko inajipasukia yenyewe stoo.Ajenge power plant yake ya kuzalisha umeme atumie makaa ya mawe Ili kupata umeme wa kuendesha kiwanda , Ili apunguze gharama za uzalishaji Ili atuuzie bei chini sukari anaweza akauza sh 1800 kwa kilo, asipotumia umeme wa Tanesco.
Mo kanja nja wa bidhaa. Atatengeneza hovyo hovyo mifuko inajipasukia yenyewe stoo.
Mo sugar mbona ipo, slogan yao ni ‘peleka utamu nyumbani’ ,ila ana package tu, hazalishiMo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Simba ndio mdhamini wa MOMo kama kawaida yake anasubiri aige na hii bidhaa kesho kutwa utaskia Mo Sugar.
Yaani METL jamaa hawaumizagi akili kila anachotengeneza Azam wao wana copy yaani simple yaani.
Mo janja janja sana...!!
Japo ndio mdhamini wa team yangu.
Kiwanda chake Kiko wp...Mo sugar ipo zaidi ya miaka mitatu. Ipo ya package 1kg, mfuko mmoja ziko packti 20...
Kk Mara ya mwisho umeiona ln...Mbona MO sugar ipo kitambo,na ile kk sukari zote niza metl na ziko poa
Naomba nmeuliza bei mpaka sahv kimya......mkuuHili ndilo la muhimu. Mengine yote ni makelele tu. Ukikuta bei ni kubwa kuliko ya nje itakuwa hakuna nafuu. Inatakiwa iwe chini.
Kumbe halimi miwa ili azalishe sukari auzeSukari iliyo-epire toka Brazil inakuwa repackaged na kuja kuuzwa huku kwa bei ya kutupa, hicho kiwanda kitapona sasa?