Ifikie wakati sasa marefa waache mahaba....wachezeshe pambano kwa kufuata sheria za soka na sio kwa maagizo ya ngazi za juu....
Ni aibu kwa mwamuzi kuingia na matokeo mfukoni kama alivyofanya yule mwenyekiti........
Hali hii inashusha morali ya wachezaji katika ligi...kwani wanajua wazi kuwa wao hawastahili kuwa mabingwa na bingwa ameshapangwa......
Naishauri TFF msimu ujao wa ligi wasihangaike kupanga ratiba ndefu za ligi hali ya kuwa wameshamjua bingwa kabla hata ligi haijaanza....
Hizo pesa za wadhamini waandae sherehe za kumkabidhi ubingwa Yanga.......
Wasitupotezee muda wa kukaa kuangalia mpira huku wao wanamjua bingwa....