Tetesi: Azam energy drink kufungiwa

Tetesi: Azam energy drink kufungiwa

Habari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.
Business as usual. Hakuna uwajibikaji. Kuna watu zaidi ya 100 walibabuka ngozi kwa kula mafuta yenye kusadikika kuwa na sumu ulisikia hata waziri kaenda kuwatembelea? Mpaka ngozi kubabuka unajua huko ndani hali ipoje?
Na Watu wengine waliodhurika na hayo mafuta ya kula yenye sumu kuna taarifa kwamba wamepofuka macho, wamekuwa vipofu na hawaoni tena.
 

Attachments

  • 5929966-5358adcd11ca564ef6ab279deb233ae9.mp4
    14 MB
Hii Azam energy Ina uwezo wa kuuwa ng'ombe sembuse we mwanadamu.
Chukua chupa moja ichemshe kisha mwagia majani ng'ombe wakila wanakufa ndo wakulima uitumia Morogoro kuuwa ng'ombe za wafugaji wakorofi wwanaolisha mashamba yao.
Pia utumika kuulia panya loweka nafaka na energy kisha weka mahali pa panya wakila wanakufa wote
Chief inauwa panya kweli kwa kufanya hivyo? Kuna panya nahisi wametumwa kwenye biashara yangu. Nataka nitangaze msiba
 
Habari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.
Dah
 
Habari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.
Niliwahi kujaribu niliokutana na vibe kichwani nikasema hiki nini kwani?

Nikaingiwa na mashaka ikabidi nicheki stimulant yake, nikakuta ni guarana extract ambayo ni ina caffeine mara tatu ya caffeine inayopatikana katika kahawa ambayo energy drinks nyingine wanatumia.

Hii guarana ni zao linalimwa S. America huko hususani Brazil.

Nikaamini labda lile vibe ni kwasababu ya aina ya stimulant iliyotumika, ni tofauti ni hii ya kahawa iliyozoeleka.

kama kuna kingine basi tunasafari ndefu na hizi bodi za viwango kama taifa.
 
Hii Azam energy Ina uwezo wa kuuwa ng'ombe sembuse we mwanadamu.
Chukua chupa moja ichemshe kisha mwagia majani ng'ombe wakila wanakufa ndo wakulima uitumia Morogoro kuuwa ng'ombe za wafugaji wakorofi wwanaolisha mashamba yao.
Pia utumika kuulia panya loweka nafaka na energy kisha weka mahali pa panya wakila wanakufa wote
Yesu...🙊
 
Mo alishawahi kusema, tangu azaliwe hajawahi kunywa Mo energy.

Mtu akipewa kazi ya kuchimba mtaro tu lazima anywe mo energy.,huko mastitis ndio usiseme.

Unaweza kudhani kuna kiwanda humo saiti
mastitis unamaaniasha nini
 
Back
Top Bottom