Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Inawezekana ni kweli maana nilikunywa moja juzi mpaka sasa siko sawaHabari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.