Inawezekana ni kweli maana nilikunywa moja juzi mpaka sasa siko sawaHabari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.
Mkuu we nafikili kwanini umri wa uzee ndio maradhi hua yanaibuka mara kisukari mara Moyo au pressure.Okay let's wait and see
Hii ya panya ntaipratize aiseee.Hii Azam energy Ina uwezo wa kuuwa ng'ombe sembuse we mwanadamu.
Chukua chupa moja ichemshe kisha mwagia majani ng'ombe wakila wanakufa ndo wakulima uitumia Morogoro kuuwa ng'ombe za wafugaji wakorofi wwanaolisha mashamba yao.
Pia utumika kuulia panya loweka nafaka na energy kisha weka mahali pa panya wakila wanakufa wote
hata mwamedi nae anamaliza vijana na energy yakeHabari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.
Mbona hatariii, Lol [emoji23][emoji23][emoji23]Mo miatano.
Si ndo maana wanakua km wehu. LOLBodaboda wanazipenda na MO
ova
Ila nijuavyo kuna vitu ni sumu kwa binaadamu ila si sumu kwa mnyama na kuna vitu ni sumu kwa mnyama ila sio sumu kwa binaadamu.Hii Azam energy Ina uwezo wa kuuwa ng'ombe sembuse we mwanadamu.
Chukua chupa moja ichemshe kisha mwagia majani ng'ombe wakila wanakufa ndo wakulima uitumia Morogoro kuuwa ng'ombe za wafugaji wakorofi wwanaolisha mashamba yao.
Pia utumika kuulia panya loweka nafaka na energy kisha weka mahali pa panya wakila wanakufa wote
Niliwaambia mkabeza!Habari za mda huu wanajamvi,
Kuna tetesi za kinywaji cha mzee wetu Bakhresa Azam energy kimefungiwa kwa kukutwa na viatarishi vya afya ya binadam.
Sasa kama ni kweli baada ya miaka yote hii kuwepo sokon sijui imeshamaliza watu wangapi mpka sasa.