kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Usijali,labda kapewa dumu moja la litres 20 mafuta ya kula,Huyu refa wa leo ndio sababu mpira wa bongo hauna hadhi ya kupata udhamini mzuri
Una siku ngumu sana leo, uwe na panadol mzee [emoji1786]Azam huwa wanatumwa na Makolo fc.
Fuko la gsm Hilo!Refariii Wa Mchongo Mchongo...Faulo anaziona Za Azam tu ...Za Yanga anapeta!
Huyu refa wa leo ndio sababu mpira wa bongo hauna hadhi ya kupata udhamini mzuri
Refariii Wa Mchongo Mchongo...Faulo anaziona Za Azam tu ...Za Yanga anapeta!
Refa [emoji28]
Punguzeni malalamishi yasiyo na kichwa wala miguu! Refa angekuwa anaibeba Yanga, mpaka muda tungekuwa tunaongoza 3-1!R.E.F.A
Mkuu kiasi kama tumerudi mchezoni, mechi ni kama 50/50 hivi...japo hata sare ni matokeo bora kwa mechi ilivyo leo.Una siku ngumu sana leo, uwe na panadol mzee [emoji1786]
SafiANGALIA MECHI LIVE KATI YA AZAM FC VS YANGA AFRICAN KUPITIA LINK YA@hamadeddymaclayzinsports.com[emoji1256]LEO 6/4/2022
anaetaka kucheck game youtube link hiyo
Mtapata tabu sana mwaka huu.Yanga leo bikra inachomolewa
Yaani Babu unataka uvunje rekodi Magoli ya kupewa ya Penati...hilo moja mmepewa.Punguzeni malalamishi yasiyo na kichwa wala miguu! Refa angekuwa anaibeba Yanga, mpaka muda tungekuwa tunaongoza 3-1!
Maana Aggrey Morris amekamata mpira mara mbili ndani ya eneo la 18, lakini bado mwamuzi amepeta! Na sisi tumechukulia ni sehemu ya mchezo.
Hatari SAnaDjuma shabaaaaaaaan