Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
- #21
Jifunze Kuandika Vzr then ndio Uje ufanye challenge na Mimi Mzee babaUnazani.Azam.ana kuacha poleeeeeeeee chura polee watakavyo kubinua poleee nasema pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze Kuandika Vzr then ndio Uje ufanye challenge na Mimi Mzee babaUnazani.Azam.ana kuacha poleeeeeeeee chura polee watakavyo kubinua poleee nasema pole
KILA LA HERI TIMU YANGU YANGA KATIKA MCHEZO WA LEOLeo kutakuwa na Mtanange wa Kukata na Shoka kati Azam Fc na Yanga SC.
.
Wakuu mechi hii itaanza majira ya saa 2:15 usiku Uwanja wa Chamazi Complex.
.
Tunajua ugumu wa game hii ya leo Ukizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
.
Azam FC ni Mwenyeji wa Mchezo wa Leo Dhidi ya Yanga.
.
Huku Team Ya Yanga ikiwakosa Wachezaji wake kama Feisal Salum, Bangala, Aucho nk.
======
No...ila nadhani alikuwa anaitambulisha leo clouds kama sikosei
Kitaani sidhani maana navyojua mchizi anauza softcopy kwa 15k na ndio system yake labda safari hii abadiliYeah walikuwa wanafanya review, hope soon itakuwa kitaa...!
acha porojo ngoja mkatolewe mrudi bongo akili zimekaa sawaJinsi ambavyo Utopolo wako busy na mechi ya Simba na Orlando huwezi amini kama wana mechi ya ligi ya mbuzi leo, mi kama vile NBC LEAGUE imemezwa na amsha-amsha za CAFCCL.
Kwa kushabikia vibovu tu haujamboKILA LA HERI TIMU YANGU YANGA KATIKA MCHEZO WA LEO
LETS GOOO YANGA
Hahaaaa kweli wamejua kutuzalilisha wana simbaIna maana mpaka NBC wanabrand nyuma hiyo ni pre match press. Aibu kwa ligi Hata kufunika na Kitambaa tu Mezani Hawakuona umuhimu Wake.
.
Halafu angalia walivyopandishia viti vya Kukaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2177905
Tembeeni na Meza Wazee Ile Meza Ni HatariKwa kushabikia vibovu tu haujambo
Poleeeeee na makasiriko yako sio mm niliyesema ushabikie utopwinyo. Kuandika nako unaweza wewe au jazba tu kwendaaa baadae uwepo hapa utupe matokeo maana lazima mfirigisweJifunze Kuandika Vzr then ndio Uje ufanye challenge na Mimi Mzee baba
Umekazania meza wakati ni swala ambalo liko chini ya maandalizi ya timu iliyopo nyumbaniTembeeni na Meza Wazee Ile Meza Ni Hatari
Wa Kwetu Punguza Kisugar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Poleeeeee na makasiriko yako sio mm niliyesema ushabikie utopwinyo. Kuandika nako unaweza wewe au jazba tu kwendaaa baadae uwepo hapa utupe matokeo maana lazima mfirigiswe
Karibu sa2:15 uangalie Mbugi Nzuri ya Vijanaa wa Jangwani Wa Kwetu.Umekazania meza wakati ni swala ambalo liko chini ya maandalizi ya timu iliyopo nyumbani
Sasa kama hawana uwezo wa ku afford meza nzuri unafikiri aibu ni yetu?
Simba katoka dar na bus, humo kajaza wachezaji kwa ajili ya mechi hajabeba meza, meza wamezikuta huko huko
Punguza upumbavu.Wa Kwetu Punguza Kisugar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karibu sa2:15 uangalie Mbugi Nzuri ya Vijanaa wa Jangwani Wa Kwetu.
Bongo ni nyumbani, ila kurudi huko CAFCL au CAFCCL msimu ujao ni uhakika 100%.acha porojo ngoja mkatolewe mrudi bongo akili zimekaa sawa
Azamu wachumba Tu KwetuAzam Piga hao utopwinga wapoteane waende kigamboni wakaogeleee utabili Azam 2 uto 1