Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Leo kutakuwa na Mtanange wa Kukata na Shoka kati Azam Fc na Yanga SC.
.
Wakuu mechi hii itaanza majira ya saa 2:15 usiku Uwanja wa Chamazi Complex.
.
Tunajua ugumu wa game hii ya leo Ukizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
.
Azam FC ni Mwenyeji wa Mchezo wa Leo Dhidi ya Yanga.
.
Huku Team Ya Yanga ikiwakosa Wachezaji wake kama Feisal Salum, Bangala, Aucho nk.

======
Kumkosa Aucho na Bangala pale nyuma, na Fei Toto kiungo cha mbele! Ni changamoto kiasi fulani. Ila naamini Profesa Nabi atakuja na Plan B.

I wish na Sure Boy naye ata waprove wrong waajiri wake kwa kucheza kwa kiwango cha juu kabisa. Sitegemei apaniki kiasi cha kusababisha kupewa kadi nyekundu.

Mwisho kabisa nawatakia ushindi Wananchi Yanga. Itapendeza sana tukichukua ubingwa, huku tukiwa hatujafungwa hata mechi moja.
 
Kumkosa Aucho na Bangala pale nyuma, na Fei Toto kiungo cha mbele! Ni changamoto kiasi fulani. Ila naamini Profesa Nabi atakuja na Plan B.

I wish na Sure Boy naye ata waprove wrong waajiri wake kwa kucheza kwa kiwango cha juu kabisa. Sitegemei apaniki kiasi cha kusababisha kupewa kadi nyekundu.

Mwisho kabisa nawatakia ushindi Wananchi Yanga. Itapendeza sana tukichukua ubingwa, huku tukiwa hatujafungwa hata mechi moja.
Yes kuzikosa Hizo Mashine 2 ni shida sana
 
Leo kutakuwa na Mtanange wa Kukata na Shoka kati Azam Fc na Yanga SC.
.
Wakuu mechi hii itaanza majira ya saa 2:15 usiku Uwanja wa Chamazi Complex.
.
Tunajua ugumu wa game hii ya leo Ukizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
.
Azam FC ni Mwenyeji wa Mchezo wa Leo Dhidi ya Yanga.
.
Huku Team Ya Yanga ikiwakosa Wachezaji wake kama Feisal Salum, Bangala, Aucho nk.

======
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
 
Jamani mwenye mawasiliano ya Azam tv please assist. Nimelipia king'amuzi ths. 23000 lakini chanell za mpira hazifunguki namba walizoweka hakuna hata moja inapatikana. Tafadhali
 
Jamani mwenye mawasiliano ya Azam tv please assist. Nimelipia king'amuzi ths. 23000 lakini chanell za mpira hazifunguki namba walizoweka hakuna hata moja inapatikana. Tafadhali
Jamani jamani msaada kweye hili
 
Jamani mwenye mawasiliano ya Azam tv please assist. Nimelipia king'amuzi ths. 23000 lakini chanell za mpira hazifunguki namba walizoweka hakuna hata moja inapatikana. Tafadhali
Mkuu naomba namba ya Kadi Yako
 
Kikosi
Screenshot_20220406-193256.jpg
 
Back
Top Bottom