Azam FC hatoingia Makundi CAFCC, Club Africain Kizingiti

Azam FC hatoingia Makundi CAFCC, Club Africain Kizingiti

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Hatua ya makundi CAFCC ni ngumu zaidi kuliko CAFCL.

Sababu mojawapo unacheza na timu ambazo hazifahamiki sana ana zenye wachezaji wanao weza kuku saplaiz kiwanjani. Ukicheza na timu kubwa ni rahisi mno kupata matokea, kwasababu unafahamu quality ya kila mchezaji hivyo ni rahisi kuandaa mpango mkakati mzuri.

Ni kweli Azam FC wamesajili vizuri, lakini hawakusajili vipaji kama ilivyo sajili Yanga SC msimu uliopita, Wale walikuwa vipaji haswa. Hivyo basi baada ya kuona draw ya siku ya leo, ninaweza kufikia hatma na kutamka Azam FC hatoweza kuingia Makundi.

Kizingiti cha awali ni wale wa Ethopia.

Azam FC haina rekodi nzuri sana dhidi ya Waethiopia. Hawajawahi kushinda zaidi ya asilimia 50% ya games dhidi ya timu za kule.

Let us assume wamebahatika kupita kizingiti cha kwanza.

Hiki cha pili cha Club Africain ni habari nyingine, hakuna chembe ya bahati itakayo wasaidia kufanya vyema dhidi ya hawa waarabu. Uwezo wa azam fc uko chini mno kiasi kwamba bado hawajaweza hata kushindana localy kutwaa ndoo.

AZAM FC WAJIPANGE KWA AJILI YA MSIMU WA LIGIKUU SIO CAFCC.

(Mdau)
 
Hatua ya makundi CAFCC ni ngumu zaidi kuliko CAFCL.

Sababu mojawapo unacheza na timu ambazo hazifahamiki sana ana zenye wachezaji wanao weza kuku saplaiz kiwanjani. Ukicheza na timu kubwa ni rahisi mno kupata matokea, kwasababu unafahamu quality ya kila mchezaji hivyo ni rahisi kuandaa mpango mkakati mzuri.

Ni kweli Azam FC wamesajili vizuri, lakini hawakusajili vipaji kama ilivyo sajili Yanga SC msimu uliopita, Wale walikuwa vipaji haswa. Hivyo basi baada ya kuona draw ya siku ya leo, ninaweza kufikia hatma na kutamka Azam FC hatoweza kuingia Makundi.

Kizingiti cha awali ni wale wa Ethopia.

Azam FC haina rekodi nzuri sana dhidi ya Waethiopia. Hawajawahi kushinda zaidi ya asilimia 50% ya games dhidi ya timu za kule.

Let us assume wamebahatika kupita kizingiti cha kwanza.

Hiki cha pili cha Club Africain ni habari nyingine, hakuna chembe ya bahati itakayo wasaidia kufanya vyema dhidi ya hawa waarabu. Uwezo wa azam fc uko chini mno kiasi kwamba bado hawajaweza hata kushindana localy kutwaa ndoo.

AZAM FC WAJIPANGE KWA AJILI YA MSIMU WA LIGIKUU SIO CAFCC.

(Mdau)
Club African ikiyofungwa na yanga ilikuwa dhaifu hii ya Sasa imebadilika sana ,AZAM anao mlima mkubwa kuliko team zote .
 
Hatua ya makundi CAFCC ni ngumu zaidi kuliko CAFCL.

Sababu mojawapo unacheza na timu ambazo hazifahamiki sana ana zenye wachezaji wanao weza kuku saplaiz kiwanjani. Ukicheza na timu kubwa ni rahisi mno kupata matokea, kwasababu unafahamu quality ya kila mchezaji hivyo ni rahisi kuandaa mpango mkakati mzuri.

Ni kweli Azam FC wamesajili vizuri, lakini hawakusajili vipaji kama ilivyo sajili Yanga SC msimu uliopita, Wale walikuwa vipaji haswa. Hivyo basi baada ya kuona draw ya siku ya leo, ninaweza kufikia hatma na kutamka Azam FC hatoweza kuingia Makundi.

Kizingiti cha awali ni wale wa Ethopia.

Azam FC haina rekodi nzuri sana dhidi ya Waethiopia. Hawajawahi kushinda zaidi ya asilimia 50% ya games dhidi ya timu za kule.

Let us assume wamebahatika kupita kizingiti cha kwanza.

Hiki cha pili cha Club Africain ni habari nyingine, hakuna chembe ya bahati itakayo wasaidia kufanya vyema dhidi ya hawa waarabu. Uwezo wa azam fc uko chini mno kiasi kwamba bado hawajaweza hata kushindana localy kutwaa ndoo.

AZAM FC WAJIPANGE KWA AJILI YA MSIMU WA LIGIKUU SIO CAFCC.

(Mdau)
Usiwe unacopy takataka kama hizi huko vichochoroni na kuzileta JF, utadharaulika.
 
Binafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.

Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.

Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
 
Back
Top Bottom