Sioni tatizo
Member
- Jul 12, 2023
- 71
- 98
mlima anao kmkm wengine wote kitonga,kmkm vs alhaly😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fans wa yanga bhna wanakuwaga na kaujinga fulan sometimes [emoji28]Hatua ya makundi CAFCC ni ngumu zaidi kuliko CAFCL.
Sababu mojawapo unacheza na timu ambazo hazifahamiki sana ana zenye wachezaji wanao weza kuku saplaiz kiwanjani. Ukicheza na timu kubwa ni rahisi mno kupata matokea, kwasababu unafahamu quality ya kila mchezaji hivyo ni rahisi kuandaa mpango mkakati mzuri.
Ni kweli Azam FC wamesajili vizuri, lakini hawakusajili vipaji kama ilivyo sajili Yanga SC msimu uliopita, Wale walikuwa vipaji haswa. Hivyo basi baada ya kuona draw ya siku ya leo, ninaweza kufikia hatma na kutamka Azam FC hatoweza kuingia Makundi.
Kizingiti cha awali ni wale wa Ethopia.
Azam FC haina rekodi nzuri sana dhidi ya Waethiopia. Hawajawahi kushinda zaidi ya asilimia 50% ya games dhidi ya timu za kule.
Let us assume wamebahatika kupita kizingiti cha kwanza.
Hiki cha pili cha Club Africain ni habari nyingine, hakuna chembe ya bahati itakayo wasaidia kufanya vyema dhidi ya hawa waarabu. Uwezo wa azam fc uko chini mno kiasi kwamba bado hawajaweza hata kushindana localy kutwaa ndoo.
AZAM FC WAJIPANGE KWA AJILI YA MSIMU WA LIGIKUU SIO CAFCC.
(Mdau)
Acheni kumjaza ujinga hachezi peke yakeUo ni uchawi Azam watafika makundi tena msaada mkubwa utatoka kwa Fesal.
Hayo siyo maombi ni uchawi kabisa, yaani unaroga kwa dhamira!Binafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.
Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.
Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
Hao waneshatoka labda Football ilete mambo yake hawawezi kupambana ,AZAM ataleta upinzaniSingida FG ndo Wana mlima kuliko hao Azam maana Future FC n kisanga!
Fesal ndio mchezaji bora kwa wazawa,acha tumsifie,hata ao kina Messi awachezi peke yao lakini wanasifiwa.
Azam inaingia makundi ila yanga haitaingia makundi mimi nimekaa paleeBinafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.
Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.
Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
Dua la kuku hilo.Binafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.
Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.
Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
Na hili ni moja ya tatizo kubwa lililopo vichwani mwa waafrika, KUWAZA UCHAWI TU, YAANI KILA JAMBO ATAHUSISHA UCHAWI.Hayo siyo maombi ni uchawi kabisa, yaani unaroga kwa dhamira!
Uchawi huoSijui kwann huwa mna haraka ya kutabiri mambo kabla hata ...au ndio utaalamu wenyewe?
Hahaha, dah kweli, uloziUchawi huo
Heko kwa kuliona hilo.Club African ikiyofungwa na yanga ilikuwa dhaifu hii ya Sasa imebadilika sana ,AZAM anao mlima mkubwa kuliko team zote .
Duh....!Binafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.
Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.
Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
Akawaombe msamaha Heris Saidi na Ghalib kwa jinsi alivyo wadhalilisha. Kanafiki sana kale ka totoDuh....!
Acha uchawi mkuu,hizo timu sio zenu mnajipa umuhimu na chuki kwa vitu vidogo tu,Hakika Dua mbaya humrudia aliyeiomba.Binafsi naomba huu mwaka uwe wa fedheha kwao pamoja na Feisal. Nina uhakika Azam hatafika popote iwe kimataifa au ligi ya ndani. Pia namuona Feisal akipata fedheha na majeruhi.
Unaondoka klabuni kwa kudhalilisha viongozi wa club na mdhamini na kutumia nguvu kubwa. Angalia jinsi Mayele alivyoondoka kiustaarabu tena unaweza kukuta yapo ambayo wamevutana na uongozi lakini huwezi kukuta mbambamba kama za Feisal.
Labda kama sio huyu Mungu ninayemuabudu.
Tunzeni andiko hili, mimi nimekaa paleee
Dua ya haki inapokelewa. Nyie ndio washauri wakeAcha uchawi mkuu,hizo timu sio zenu mnajipa umuhimu na chuki kwa vitu vidogo tu,Hakika Dua mbaya humrudia aliyeiomba.