Azam FC na Dabo habari imeisha. He will be fired upon arriving in Tanzania

Azam FC na Dabo habari imeisha. He will be fired upon arriving in Tanzania

Golikipa wao Jana amenishangaza sana
Ama kile kilikuwa kikosi Be
 
Ila tuseme tu ukweli! Hata kama ingetokea wakawatoa hao APR, badi wangekutana na balaa ya Waarabu wa Pyramid! Haki ya nani wasingevuka na hayo masihara yao.
Bora kutoka kiume kama Simba pale Mohammed v kuliko kutoka mapema,angetolewa na Pyramids lawama zisingekuwepo maana ubora ungeamua.......Soka wanalocheza Azam watagawa point tatu kwenye timu nyingi NBCPL,Azam haina uwezo wa kufungua timu inayopaki basi muda wote sasa hapo kuna timu kweli?
unasajili sana mpaka Colombia halafu hamna kitu! kwa nini usisajili viwango bora ndani ya Nchi na ndani ya bara la Afrika.
 
Azam sio shida kocha tu maana huyu sijui ni kocha wa ngapi, uongozi wa juu pia lazima kuwajibika huwezi kuwa kiongozi miaka na miaka na kupata kila kitu ukashindwa kuisogeza team mbele ni time ya kupisha watu wengine wenye maono tofauti mtu asiyekuwa na uyanga au usimba na hata kama anao basi awe professional. Man city ilikuwa team ya kawaida tu ilikuwa kushuka na kupanda ndio kazi yake, kaja mtu kaweka mzigo ndani ya jini linatawaliwa na Man u, kaweka team, malengo investment ya kutosha leo wako wapi. Man u wanataka kuiga, iweje team inapewa kila kitu, facility nzuri mwenye team ana uwezo lakini ikashindwa kufanya lolote. Kwa hili Azam kama kweli wako serious basi kuachia madaraka wenyewe, wakiachwa basi juwa tajiri mwenyewe yuko fine na katimiza malengo yake ya kutolewa kila siku.
 
Azam sio shida kocha tu maana huyu sijui ni kocha wa ngapi, uongozi wa juu pia lazima kuwajibika huwezi kuwa kiongozi miaka na miaka na kupata kila kitu ukashindwa kuisogeza team mbele ni time ya kupisha watu wengine wenye maono tofauti mtu asiyekuwa na uyanga au usimba na hata kama anao basi awe professional. Man city ilikuwa team ya kawaida tu ilikuwa kushuka na kupanda ndio kazi yake, kaja mtu kaweka mzigo ndani ya jini linatawaliwa na Man u, kaweka team, malengo investment ya kutosha leo wako wapi. Man u wanataka kuiga, iweje team inapewa kila kitu, facility nzuri mwenye team ana uwezo lakini ikashindwa kufanya lolote. Kwa hili Azam kama kweli wako serious basi kuachia madaraka wenyewe, wakiachwa basi juwa tajiri mwenyewe yuko fine na katimiza malengo yake ya kutolewa kila siku.
boss afukuze wote aanze upya project ime fail.
 
Ila huyu kocha, amekaa ki Basha kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaaah wee!!
 
Back
Top Bottom