King Leon 1
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 245
- 342
Kiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans.
Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.
Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.
Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.
Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!
Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???
Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.
Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.
Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.
Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!
Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???