Azam FC ni sikio la kufa ,hawajui hitaji lao nini asa ukiacha kukamia Simba na Yanga

Azam FC ni sikio la kufa ,hawajui hitaji lao nini asa ukiacha kukamia Simba na Yanga

Kama Mechi zingechezeshwa bila upendeleo Simba ingekua Nyuma ya Azam katika msimamo wa Ligi.

Mechi ya kwanza na Azam , Simba alipata Goli mbili za Offside, Mechi na Dodoma Jiji Simba alipewa penaly ya Mchongo, Mechi na Singida Refa ana haribu mechi kwa kuipendelea Simba, Mechi na JKT simba wanapewa Penalty ya Mchongo, Mechi na Namungo Simba wanafaidika na Uhuninwa Refa, Mechi na Mashujaa Aimba wana nufaika na uhuni wa refa n. K
Simba haikustahili kuwa nafasi ya pili, ni mambo ya kubebana yaliyo iweka apo, Yaani ni Tembo kawekwa nuu ya mti.
 
Kama Mechi zingechezeshwa bila upendeleo Simba ingekua Nyuma ya Azam katika msimamo wa Ligi.

Mechi ya kwanza na Azam , Simba alipata Goli mbili za Offside, Mechi na Dodoma Jiji Simba alipewa penaly ya Mchongo, Mechi na Singida Refa ana haribu mechi kwa kuipendelea Simba, Mechi na JKT simba wanapewa Penalty ya Mchongo, Mechi na Namungo Simba wanafaidika na Uhuninwa Refa, Mechi na Mashujaa Aimba wana nufaika na uhuni wa refa n. K
Simba haikustahili kuwa nafasi ya pili, ni mambo ya kubebana yaliyo iweka apo, Yaani ni Tembo kawekwa nuu ya mti.
Unaweza kuwa sahihi ila Azam angestaili zaidi endapo angekuwa anashinda mechi za daraja la chini yake, Kudondosha alama kwa timu za chini ndio kuna muweka mbali zaidi na ata iyo nafasi ya pili.
Kama ataendelea kutokuwa serious na izi mechi basi naiona Singida Black Stars ikichukua nafasi ya 3
 
Hawana kamati hao kumbuka mdau
Kamati haichezi mechi Mkuu, Mpira uwanjani tu nje ni maandalizi ya kulainisha ushindi. Azam ni timu inayotaka ishinde mechi mbili tu Vs Simba na Vs Young Africans,, Ila apoteze mechi rahisi kama Pamba,Namungo,KMC,Kagera, Etc na wala haumii
 
Misimu mingi azam anazidiwa point na simba na yanga tu.

Msimu ulioisha bingwa alikuwa Yanga na mshindi wa pili alikuwa Azam

Sasa unaanzia wapi kusema wanafanya vibaya dhidi ya simba wakati hata nafasi alimzidi.

Simba iliyoshindwa ku qualifuly kucheza champions league inamzidi nini azam aliecheza champions league
 
Kamati haichezi mechi Mkuu, Mpira uwanjani tu nje ni maandalizi ya kulainisha ushindi. Azam ni timu inayotaka ishinde mechi mbili tu Vs Simba na Vs Young Africans,, Ila apoteze mechi rahisi kama Pamba,Namungo,KMC,Kagera, Etc na wala haumii
azam angekuwa anabebwa nusu tu ya anavyobebwa simba angekuwa anatwaa ubingwa.

Simba anabebwa na marefa kila mechi.. halafu unasema anamzidi azam ?
 
Misimu mingi azam anazidiwa point na simba na yanga tu.

Msimu ulioisha bingwa alikuwa Yanga na mshindi wa pili alikuwa Azam

Sasa unaanzia wapi kusema wanafanya vibaya dhidi ya simba wakati hata nafasi alimzidi.

Simba iliyoshindwa ku qualifuly kucheza champions league inamzidi nini azam aliecheza champions league
Ni Vizuri ukasoma kwa umakini kile nilichoeleza. Ni mesema Azam FC ni timu inayokamia sana mechi mbili na kusahau alama rahisi toka timu za daraja la chini. Laiti kama Azam FC ikaamua kukamia na kuwekeza nguvu kwa timu za chini zote basi itakuwa na nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa mbele ya awa wakubwa wa kariakoo. Na ndivyo ambayo wanafanya Simba na Yanga wanachukua ubingwa kwa kuchukua alama zote kwa timu za daraja la chini na sio wakikutana wenyewe ama kuifunga Azam. Ni Vizuri Azam FC ikaliangalia ilo lazivyo watakuwa sikio la kufa
 
azam angekuwa anabebwa nusu tu ya anavyobebwa simba angekuwa anatwaa ubingwa.

Simba anabebwa na marefa kila mechi.. halafu unasema anamzidi azam ?
Naona unaegemea upande unaotaka nje na nachosema,, Azam ata akibebwa itakuwa kazi bure kama aweki jitihada zake binafsi. Kama uliangalia mechi ya jana Azam Vs Namungo…Walipewa penalty ya upendeleo lakini waliishia kukosa na kuishia kuangusha alama 2
 
Back
Top Bottom