Azam FC ni sikio la kufa ,hawajui hitaji lao nini asa ukiacha kukamia Simba na Yanga

Azam FC ni sikio la kufa ,hawajui hitaji lao nini asa ukiacha kukamia Simba na Yanga

Kiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans.

Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.

Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.

Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.

Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!

Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???
Umeeleweka shabiki lialia wa lambalamba FC
 
Kilicho wagharimu Azam ni muda mfupi kucheza baada ya kutoka kucheza mechi ngumu.

Ata Simba angekua anacheza leo na Coast, Simba wangepoteza au kutoa sare.
Azam haina mjomba ndio maana amecheza back to back.
Hakuna kitu kama iko, Jamaa ni wakamiaji tu
 
Kama imekuwa timu ya mechi mbili tu inashikaje nafasi ya tatu au ya pili kila msimu
Angalia kuna timu gani chini ya kuwazuia Azam endapo wangewekeza nguvu na jitihada zao?? Piga hesabu alama alizodondosha kwa timu daraja la chini kisha angalia angekuwa na alama ngapi? Ukiacha tu alama za Simba na Young Africans
 
Angalia kuna timu gani chini ya kuwazuia Azam endapo wangewekeza nguvu na jitihada zao?? Piga hesabu alama alizodondosha kwa timu daraja la chini kisha angalia angekuwa na alama ngapi? Ukiacha tu alama za Simba na Young Africans
Hana ubavu zaidi ya hapo
 
Wasemaji na viongozi wao waliwai sema kuwa ukitoa Young Africans na Simba kubebwa basi wao wanakuwa mabingwa,, Asa ata tukizitoa izo timu 2 unaona anaweza kuwa bingwa kirahisi ivo Kama mechi izi anadondosha ivo alama
 
Kiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans.

Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.

Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.

Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.

Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!

Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???
Hawana kamati hao kumbuka mdau
 
Azam ni tawi la kolowizard japo kelele za mitandaoni ziliwachosha wachezaji wakafanya kweli kinyume na mapenzi ya bosi wao. Usikute wachezaji walikatwa posho ndo maana jana vs Namungo wakacheza ndondo cup style.
 
Azam ni tawi la kolowizard japo kelele za mitandaoni ziliwachosha wachezaji wakafanya kweli kinyume na mapenzi ya bosi wao. Usikute wachezaji walikatwa posho ndo maana jana vs Namungo wakacheza ndondo cup style.
Na namungo nao walikatwa posho coz nao mnasema ni tawi la simba?
 
Azam ni tawi la kolowizard japo kelele za mitandaoni ziliwachosha wachezaji wakafanya kweli kinyume na mapenzi ya bosi wao. Usikute wachezaji walikatwa posho ndo maana jana vs Namungo wakacheza ndondo cup style.
Watakuwa waliber goal goal wapate pesa zao walkzokatwa
 
Back
Top Bottom