Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama imekuwa timu ya mechi mbili tu inashikaje nafasi ya tatu au ya pili kila msimuAzam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young African
Umeeleweka shabiki lialia wa lambalamba FCKiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans.
Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.
Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.
Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.
Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!
Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???
Na kwenye mechi ya Namungo kapiga tena kama ileYani wapuuzi sana nikikumbuka ile pasi ya feitoto nasonya...
HeheheDuh sasa imekuaje Azam akawa juu ya Singida?
Hakuna kitu kama iko, Jamaa ni wakamiaji tuKilicho wagharimu Azam ni muda mfupi kucheza baada ya kutoka kucheza mechi ngumu.
Ata Simba angekua anacheza leo na Coast, Simba wangepoteza au kutoa sare.
Azam haina mjomba ndio maana amecheza back to back.
Angalia kuna timu gani chini ya kuwazuia Azam endapo wangewekeza nguvu na jitihada zao?? Piga hesabu alama alizodondosha kwa timu daraja la chini kisha angalia angekuwa na alama ngapi? Ukiacha tu alama za Simba na Young AfricansKama imekuwa timu ya mechi mbili tu inashikaje nafasi ya tatu au ya pili kila msimu
Hana ubavu zaidi ya hapoAngalia kuna timu gani chini ya kuwazuia Azam endapo wangewekeza nguvu na jitihada zao?? Piga hesabu alama alizodondosha kwa timu daraja la chini kisha angalia angekuwa na alama ngapi? Ukiacha tu alama za Simba na Young Africans
Ndio maana nikasema Azam FC yuko kwenye ligi akiwa na lengo la mechi mbili tu ukamiaje wake unaonekana kwa Simba na Yanga tuHana ubavu zaidi ya hapo
Maybe but.........Ndio maana nikasema Azam FC yuko kwenye ligi akiwa na lengo la mechi mbili tu ukamiaje wake unaonekana kwa Simba na Yanga tu
Hawana kamati hao kumbuka mdauKiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans.
Uku mechi za timu za daraja la chini yake ikishindwa kufurukuta. Asa apo Azam na viongozi wao waambiwe ukweli kama wanataka kuzichallenge Simba na Young Africans kuchukua ubingwa basi yawapasa waanze kuwa serious na mechi za daraja la chini yake na sio Simba na Yanga tu.
Ni heri upoteze mechi mbili na ushinde zilizobaki utakuwa na nafasi nzuri ya kuchuana kwenye ubingwa, vinginevyo na apo ni kuwa wasindikizaji tu.
Mechi ya juzi vsSimba tuliona Azam ilivyo tumia nguvu na jitihada zote yaani kiasi kwamba unasema wako final ila Azam ile ndio hii iko uwanjani inatolewa jasho na Namungo utafikiri Azam wachezaji wapya sio wale wajuzi aseeh inasikitisha sana maana siwaelewi ama wao ndio hawajielewi.
Ni lini Azam Fc itafufuka na kutambua kuwa ubingwa unaweza patikana kwa kushinda mechi izi ndogo nasio kukamia timu mbili tu!
Wachezaji,Viongozi na wamiliki wa Azam Fc wajitathmini tujue kama wao ni wasindikizaji ama lah???
Wewe ndiye msema kweli mkuu.Fixture kwao haikuwa rafiki yametengenezwa mazingira ya azam kudondosha point
Na namungo nao walikatwa posho coz nao mnasema ni tawi la simba?Azam ni tawi la kolowizard japo kelele za mitandaoni ziliwachosha wachezaji wakafanya kweli kinyume na mapenzi ya bosi wao. Usikute wachezaji walikatwa posho ndo maana jana vs Namungo wakacheza ndondo cup style.
Tena usinikumbusheAzam haina quality players wengi. Ukimtoa Feisal na Silah wana nani mwingine?. mechi ya juzi ni uzembe wa simba wenyewe, walikuwa na uwezo wa kushinda ile mechi
Angalia nanugumu wa mechi bro...ile ni human body sio machineHaikuwa rafiki kivipi akati game ya simba kacheza jtatu leo n alhamisi na zote kachezea apo apo dar
Watakuwa waliber goal goal wapate pesa zao walkzokatwaAzam ni tawi la kolowizard japo kelele za mitandaoni ziliwachosha wachezaji wakafanya kweli kinyume na mapenzi ya bosi wao. Usikute wachezaji walikatwa posho ndo maana jana vs Namungo wakacheza ndondo cup style.
Sana tuu mbona ata lile goli lanpili dhidi ya azam walibebwa maana ile haikuwa foulHzo simba na yanga zisingekuwa zinapewa upendeleo,nazo zingekuwa zinadondosha sana point kama azam tu