Azam FC wanacheza kama wamekata tamaa, na hivi ndo mwanzo wa msimu

Azam FC wanacheza kama wamekata tamaa, na hivi ndo mwanzo wa msimu

Ila uwanja mzuri sana ni mkeka
Wanachocheza Azam wanajua wenyewe afu ni suala la mda tu watamstukia Dabo ni dalali
 
Ila uwanja mzuri sana ni mkeka
Wanachocheza Azam wanajua wenyewe afu ni suala la mda tu watamstukia Dabo ni dalali
ngoja mvua inyeshe huo uwanja ni sehemu ya kambare kuchezea...🤣
 
Zimebaki dakika 3 mpira uishe mtu anaenda kupiga kona anatembea, ubao wa matokeo unasoma 0-0 halafu eti ndio title contender uyo.
Wachezaji watakuwa wanamgomo, bora timu itoe sare lakini wachezaji wanaonesha kupambana.
 
Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi.

Azam fc wamekata tamaa

Wanacheza kama wachovu Kweli kweli.

Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA

Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target hata 1

Azam hana hata corner 1

Azam FC badili benchi la ufundi mapema wanaweza kushuka daraja kabisa
Hata makolo wangeanza na timu ngumu hali ingekua kama hii ya azam,waishukuru bodi ya ligi kwa kuwapangia vibonde
 
Azam waache ujinga wao wa kujifanya wanafocus kwa vijana sana kuliko wakongwe, kijiji bila wazee hakiwezi kuwa na maendeleo endelevu.

Wajiweke kimkakati kama klabu zingine zinazojiweka kiushindani, haiwezekeni timu nzima ni vijana ambao hawana uzoefu wowote katika mashindano makubwa yeyote yale, Madrid sio wajinga kumbakiza Modric kwenye kikosi chai, wasajili kama simba na yanga jinsi wanavyosajili wachezaji wakubwa na wazoefu wa mashindano changanya na vijana nenda kashindane uone kama hufiki hatua za juu.

Tatizo watoto wengi hawajui wanachokihitaji kwenye team.
 
Ila uwanja mzuri sana ni mkeka
Wanachocheza Azam wanajua wenyewe afu ni suala la mda tu watamstukia Dabo ni dalali
Azam Kuna shida sehemu, wachezaji wanaonekana wazito kufanya maamuzi, yaani ni kama Bado Wana Fanya mazoezi magumu wakati Ligi imesha Anza.
Athali za mazoezi magumu ni akili kutaka kufanya kitu lakini misuli ya mwili Bado nyuzi zimekaza Sana.
 
Azam Kuna shida sehemu, wachezaji wanaonekana wazito kufanya maamuzi, yaani ni kama Bado Wana Fanya mazoezi magumu wakati Ligi imesha Anza.
Athali za mazoezi magumu ni akili kutaka kufanya kitu lakini misuli ya mwili Bado nyuzi zimekaza Sana.
Hii ni kabisa
 
Back
Top Bottom