Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Lakini unajua weedad kamaliza nafasi ya ngapi, au umekurupuka tuBora Azam,yanga wanacheza na kaizer chief ya 10 kwenye ligi yao..hainatofauti na kucheza na lipuli ya iringa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini unajua weedad kamaliza nafasi ya ngapi, au umekurupuka tuBora Azam,yanga wanacheza na kaizer chief ya 10 kwenye ligi yao..hainatofauti na kucheza na lipuli ya iringa
AZAMA FC 😂View attachment 3056436
FT Wydad 4-1 Azam
Baada ya kushika nafasi ya pili wakajiona nao ni mabingwa.Hii ni ishara kuwa Yanga ni bingwa tena
Inanikumbusha Mwaka 1994 Kolo alitia mpira kwapani halftime pale Shamba la Bibi zidi ya Yanga. Hii match nilishuhudia kabisa nikiwa nipo Shule ya Msingi Madenge kule Temeke.Haya ndio madhara ya kujipima ubavu na timu za daraja ya chini unashinda unajiona uko vizuri, ukikutana na timu ya daraja la juu majibu yake ndio haya. Bahati nzuri Wydad wamekuwa waungwana wamechelewa kuwafunga hayo magoli mengi, maana Azam hawachelewi kususia mechi kama mwaka jana.
Unamzungizia Goliati Lassane?Hahaha walitoka nduki na yule jamaa yao mbavu anatoa macho kama kadondosha shilingi kwenye mchanga
Naona umebadili ID umekuja kivingine ili utukanane na GENTAMYCINE popomaTimu zetu bado zinabebewa na ushirikina na Media zaidi ya hapo mashabiki wapumbavu wasio jua mpira usimba na uyanga. hatuna mpira wa maajabu.
Ligi yetu ni ndondocupu iliyochangamuka.
Hapa ilikuwa wanacheza SingeliWe umesikia wapi machifu wanacheza mpira?
Mwenge hauruki kijiji. Tarehe 8 utakuwa Benjamini Mkapa Stadium.Bora Azam,yanga wanacheza na kaizer chief ya 10 kwenye ligi yao..hainatofauti na kucheza na lipuli ya iringa
Nakubali HASIBU la Azam.Azam huwa wanakosea wapi hawa jamaa?.
Okey nadhani kwa upande wa mpira mmiliki aachane na team aiuze, kuingia ubiya na walio serious au ajikite na uwekezaj aliofanya kwenye TV nk, team inampa hasara tu japo anajitutumua kuonyesha hawezi shindwa.
Acha upuuzi,Umeongea kujifariji, Yanga imepata test ya mechi tatu
Timu ya kwanza ni Augsburg inashiriki ligi kuu ujerumani nafasi ya 10
Test ya pili TS Galaxy inashiriki ligi kuu Africa kusini nafasi ya 6
Test ya tatu ni Kaizer Chiefs ambayo inashiriki ligi kuu ya Africa kusini nafasi ya 10
Timu zote ilizocheza na Yanga zinashiriki ligi kuu sio ligi daraja ya chini, Azam kacheza na timu moja tu inayoshiriki ligi kuu tena wapo nafasi ya 6 kazabwa magoli ya kutosha. Endeleeni kuichukulia poa Yanga naona mmegoma kujifunza.
Wydad lachoka? Unafuatilia soka wew ?Wydad aliyejichokea tu hivyo. Huyu azam ataweza caf kweli
We mshirikina ulikua wapi!?AZAMA FC 😂
Yaani GENTAMYCINE nitukanane na huyo Mpiga Mluzi Mwenzako?Naona umebadili ID umekuja kivingine ili utukanane na GENTAMYCINE popoma
ApiAWydad hawaamini ushirikina
Hatua ya kwanza mkajifunze jinsi ya kucheza fainali ya kombe la CAFCC.Unajielewa kweli..mtu wa Simba anaenda kujifunza nini kwa yanga?Are you sereous?
Wenzao Kono la nyani waliona isiwe tabu wakachagua kucheza ni vitimu vya daraja la 2 wao wakaona wameiva wakawaiga yanga kucheza na wakubwa matokeo yake ndio Aya Sasa🤣🤣View attachment 3056436
FT Wydad 4-1 Azam
Makolo uwa yanapenda sana kujifariji basi kamlete uyo wydad acheze na yanga tuone atamfunga ngapi, mara nyingi wivu unapozidi mwenye wivu ugeuka mchawi maana anakuwa Hana hoja Bali virojaBora Azam,yanga wanacheza na kaizer chief ya 10 kwenye ligi yao..hainatofauti na kucheza na lipuli ya iringa
Hizi ni mechi za trial msimalize manenoAzam huwa wanakosea wapi hawa jamaa?.
Okey nadhani kwa upande wa mpira mmiliki aachane na team aiuze, kuingia ubiya na walio serious au ajikite na uwekezaj aliofanya kwenye TV nk, team inampa hasara tu japo anajitutumua kuonyesha hawezi shindwa.