Azam FC yachezea koki, yapigwa bao 4-1

Azam FC yachezea koki, yapigwa bao 4-1

Hii ni ishara kuwa Yanga ni bingwa tena
Baada ya kushika nafasi ya pili wakajiona nao ni mabingwa.
Mwingine akajiona yeye ndiyo anauwezo sana anaweza kucheza mpaka na Augsburg.
Kwa hapa Tanzania Yanga hana mpinzani, kwahiyo mesajili ili mchukue NBC, Mapinduzi na FA?
Kwa usajili ule wa Yanga, mtashindwa kuchukua kombe la Champion League?😁😁😁
 
Haya ndio madhara ya kujipima ubavu na timu za daraja ya chini unashinda unajiona uko vizuri, ukikutana na timu ya daraja la juu majibu yake ndio haya. Bahati nzuri Wydad wamekuwa waungwana wamechelewa kuwafunga hayo magoli mengi, maana Azam hawachelewi kususia mechi kama mwaka jana.
Inanikumbusha Mwaka 1994 Kolo alitia mpira kwapani halftime pale Shamba la Bibi zidi ya Yanga. Hii match nilishuhudia kabisa nikiwa nipo Shule ya Msingi Madenge kule Temeke.
 

Attachments

  • FB_IMG_17221797045107522.jpg
    FB_IMG_17221797045107522.jpg
    117.5 KB · Views: 1
Azam huwa wanakosea wapi hawa jamaa?.

Okey nadhani kwa upande wa mpira mmiliki aachane na team aiuze, kuingia ubiya na walio serious au ajikite na uwekezaj aliofanya kwenye TV nk, team inampa hasara tu japo anajitutumua kuonyesha hawezi shindwa.
Nakubali HASIBU la Azam.
 
Umeongea kujifariji, Yanga imepata test ya mechi tatu
Timu ya kwanza ni Augsburg inashiriki ligi kuu ujerumani nafasi ya 10
Test ya pili TS Galaxy inashiriki ligi kuu Africa kusini nafasi ya 6
Test ya tatu ni Kaizer Chiefs ambayo inashiriki ligi kuu ya Africa kusini nafasi ya 10

Timu zote ilizocheza na Yanga zinashiriki ligi kuu sio ligi daraja ya chini, Azam kacheza na timu moja tu inayoshiriki ligi kuu tena wapo nafasi ya 6 kazabwa magoli ya kutosha. Endeleeni kuichukulia poa Yanga naona mmegoma kujifunza.
Acha upuuzi,
Azam kacheza na union tourga, ya 4 kwenye botola na ipo CC na simba, katoka 1-1,
Leo kacheza na Wydad ambae hahitaji kuelezewa
 
Azam huwa wanakosea wapi hawa jamaa?.

Okey nadhani kwa upande wa mpira mmiliki aachane na team aiuze, kuingia ubiya na walio serious au ajikite na uwekezaj aliofanya kwenye TV nk, team inampa hasara tu japo anajitutumua kuonyesha hawezi shindwa.
Hizi ni mechi za trial msimalize maneno
 
Back
Top Bottom