Azam FC yachezea koki, yapigwa bao 4-1

Azam FC yachezea koki, yapigwa bao 4-1

Wydad lachoka? Unafuatilia soka wew ?

Wydad mwaka huu amechoka. Ameshindwa hata ku qualify kucheza champions league.

Pia hata kwenye caf champions league wydad aliishia hatua ya makundi.

Wydad amechoka maana sio kawaida yake kushindwa ku qualify champions league ama kutolewa makundi
 
Uzuri Azam wamekataa kujidanganya, hiki ni kipimo kizuri sana kwao na watakuwa wameona mapungufu mengi kabla ya kuanza michuano ya CAF.
 
Wydad mwaka huu amechoka. Ameshindwa hata ku qualify kucheza champions league.

Pia hata kwenye caf champions league wydad aliishia hatua ya makundi.

Wydad amechoka maana sio kawaida yake kushindwa ku qualify champions league ama kutolewa makundi
Na jimba naye kachoka, maana hayupo kwenye ligi ya mabingwa
 
Back
Top Bottom